Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo ambapo Mabingwa watetezi, LA Lakers, wamejikuta wakiotolewa umaarufu kwa kupoteza mchezo dhidi ya Tha Philadelphia 76ers.
Lakers walikuwa na rekodi ya kutopoteza michezo 10 waliyocheza kwenye uwanja wa ugenini mpaka sasa. Hali ilikuwa tofauti walipowafata 76ers pale Wells Fargo Center.
Ulikuwa ni mchezo wenye ushindani mkubwa, Lakers wakitoka nyuma kwa pointi 100-86 na kupachika pointi 13-0 zikiwa zimesalia dakika chini ya 5 mchezo kumalizika.
Baada ya vuta n’kuvute, Tobias Harris aliibuka shujaa wa 76ers baada ya kupachika pointi ya ushindi zikiwa zimesalia sekunde 2.4 mchezo kumalizika na Lakers kushuhudia kipigo cha pointi 107-106.
Kwingineko kunako muendelezo wa NBA 2020/21, James Harden na Kevin Durant wameendelea kuwa bora na kuisaidia Brooklyn Nets kuwaburuza Atlanta Hawk kwa pointi 134-128.
James Harden amekuwa mchezaji wa kwanza wa Nets kupachika pointi 30 na kutoa pasi 15 za magoli tangu Stephon Marbury alipofanya hivyo mwaka 2000.
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!
Shakila mrope
NBA mko makini san ongeren san
Adelta
NBA mnatisha hongera zao
Lydia Emmanuel Magoti
NBA Mambo ni moto
Magdalena
Lakers nao wanatuangusha sisi mashabiki
samiah
Mambo đĽđĽN B A
Dorophina
Lakers amepoteza mchezo muhimu sana
Caroline
Lakers wameshuka kiwango
Venerose
NBA Mambo ni đĽđĽđĽ
Mwanahamisi
NBA noma
Ernest Kimeru
James Harden na Kevin Durant hawa jamaa ni kisanga ndani ya NBA
Issa
Lakers wametelez wapi
Sania
NBA đĽđĽ
Hopemwaikuka
Dah
Asia Abdy
Nice
Sarah
NBA Mambo ni moto