Miami Heat wamefanya moja ya usajili mkubwa zaidi katika historia ya NBA baada ya kumchukua nyota wa Milwaukee Bucks, Giannis Antetokounmpo, katika biashara kubwa iliyotikisa ligi hiyo. Mshindi huyo mara …
Makala nyingine
Sean Sweeney ametambulishwa rasmi kama kocha mpya wa Orlando Magic, akianza sura mpya ya maisha yake ya ukocha baada ya miaka mingi akiwa msaidizi katika timu mbalimbali za NBA. Kocha …
Golden State Warriors wanaweza kukosa moja ya vipaji vinavyovutia zaidi kwenye NBA Draft ijayo kutokana na mipango ya Dallas Mavericks kuendelea kujenga timu yao kuzunguka nyota kijana Cooper Flagg. Mlinzi …
Los Angeles Lakers wametangaza rasmi kuwa Lawrence Tanter, anayejulikana kama sauti ya matangazo ya mechi za nyumbani za klabu hiyo, amestaafu baada ya huduma ya miaka 43. Uamuzi huo unahitimisha …
Chicago Bulls wameingia kwenye sura mpya baada ya kumtangaza rasmi Tiago Splitter kama kocha mkuu wa 25 katika historia ya klabu hiyo. Kocha huyo mwenye miaka 41, ambaye alikulia Brazil …
Fainali za NBA za mwaka 2026 kati ya New York Knicks na San Antonio Spurs zimeingia kwenye vitabu vya historia baada ya kuwa mfululizo uliotazamwa zaidi katika kipindi cha miaka …
Golden State Warriors wanaweza kuwa karibu kufufua mpango wao wa kumuwania Trey Murphy III wa New Orleans Pelicans, huku taarifa mpya kuhusu Draymond Green zikiongeza uwezekano wa dili hilo kutokea …
Golden State Warriors wanaendelea kutafuta njia ya kujenga kikosi kingine cha ubingwa kabla ya pazia kushuka kwa enzi ya Stephen Curry. Licha ya nyota huyo kuwa katika hatua za mwisho …
Boston Celtics wameibuka kwa nguvu katika mbio za kumuwania nyota wa Milwaukee Bucks, Giannis Antetokounmpo, na iwapo dili hilo kubwa litafanikiwa linaweza kuja na jambo kubwa linalomhusisha veterani Al Horford …
Kadri NBA Draft inavyokaribia, Golden State Warriors wanaonekana kuwa na mpango mkubwa ambao unaweza kubadilisha mustakabali wa klabu hiyo. Badala ya kutumia chaguo lao la 11 pekee katika raundi ya …
Mustakabali wa Walker Kessler ndani ya Utah Jazz umeanza kuzua msisimko mkubwa kwenye NBA baada ya taarifa kueleza kuwa kuna tofauti kati ya mchezaji huyo na klabu yake kuelekea kipindi …
Golden State Warriors wanaingia msimu mpya wakiwa na kazi kubwa ya kumsaidia Stephen Curry upande wa ushambuliaji. Licha ya kuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi katika historia ya NBA, Curry …
Golden State Warriors wanaonekana kuingia kwenye kharakati za kutafuta mrithi wa wa nyota mkongwe Draymond Green. Licha ya kuwa sehemu muhimu ya mafanikio ya klabu kwa miaka mingi, umri wa …
Taarifa za uhamisho wa LeBron James zimezidi kushika kasi, huku Golden State Warriors wakitajwa kuwa na nia kubwa ya kumsajili nyota huyo wa umri wa miaka 41. Hata hivyo, Los …
Hali ya mustakabali wa Giannis Antetokounmpo ndani ya Milwaukee Bucks imeingia hatua ya mwisho ya maamuzi, huku taarifa zikieleza kuwa uhamisho wa nyota huyo unaweza kukamilika kabla ya NBA Draft …
Wakati anatajwa Jalen Brunson kama shujaa mkuu wa New York Knicks katika safari yao ya kutwaa ubingwa wa NBA, asipuuzwe Karl-Anthony Towns kwa mchango mkubwa alioutoa. Nyota huyo ameandika moja …
Kabla ya msimu wa 2025-26 kuanza, wengi waliamini San Antonio Spurs walikuwa wanashiriki ili kupigania nafasi ya kucheza mtoano kwa mara nyingine. Lakini kadri msimu ulivyoendelea, timu hiyo iligeuka kuwa …

