HABARI ZAIDI
NBA Game 6 Kuamua Bingwa au Tunakwenda Game 7?
NBA mambo yanaeleweka huku mambo hayaeleweki ubingwa kwenda kushangilia jijini San Fransisco au Boston? kesho inawezakuwa ijumaa ya maamuzi kumaliza game 6 au Game...
Warriors Wanaukaribia Ubingwa NBA 2022
Fainali ya NBA inazidi kunoga wakati huu ambao michezo 5 kati ya 7 imeshamalizika. Golden State Warriors wanaukaribia ubingwa msimu huu.
Ushindi wa pointi 104-94,...
James Mchezaji wa Kwanza wa Kikapu Kuwa Bilionea
Staa wa NBA LeBron James mchezaji wa kwanza wa mpira wa kikapu ambaye bado anacheza kuwa bilionea hii ni kwa mujibu wa jarida maarufu...
Celtics Watinga Fainali NBA
Baada ya miaka 12, Boston Celtics wamefanikiwa kutinga fainali ya NBA baada ya kuwamwaga Miami Heats.
Licha ya kupoteza michezo 2 ya mwanzo, Celtics walirejea...
Jimmy Butler Apindua Meza NBA.
Ngoma ngumu kunako fainali ya Eastern Conference kwenye NBA. Jimmy Butler akataa utumwa mbele ya Boston Celtics.
Celtics waliingia uwanjani wakiwa wanaongoza kwa matokeo ya...
Warriors Bingwa Western Conference
Fainali ya NBA 2022 inanukia, timu ya kwanza imeshajulikana. Ni Golden State Warriors, mabingwa wa Western Conference 2022.
Warriors wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali ya...
Warriors Wapindua Meza California
Fainali ya Western Conference kunako NBA inaendelea kunoga kati ya Golden State Warriors na Dallas Mavericks. Vijana wa Kerr wanajambo lao msimu huu.
Baada ya...
Bucks Wavuliwa Ubingwa wa NBA.
Kama ambavyo LA Lakers walivyoshindwa kutetea ubingwa wa NBA msimu ulioisha, Milwaukee Bucks wamevuliwa rasmi ubingwa msimu huu.
Bucks walitwaa ubingwa wa NBA msimu ulioipita...
Heats Watinga Nusu Fainali NBA 2022
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea kunoga viwanjani, Miami Heats imejihakikishia kucheza nusu fainali kunako Eastern Conference.
Licha ya kuwakosa nyota wao ambao ni majeruhi...
Lakers Yamtimua Frank Vogel
Pengine hili lilitegemewa kama ilivyo kwenye soka, LA Lakers imemuachisha kazi aliyekua kocha wao, Frank Vogel.
Vogel anaondolewa kwenye nafasi hiyo ambayo ameitumikia toka mwaka...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Kesheni milahula on Ligi 10 Bora Barani Africa 2022.
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Hatua za Kujisajili Meridianbet | Unapewa Zawadi ya Ukaribisho
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu