Makala nyingine

NBA mambo yanaeleweka huku mambo hayaeleweki ubingwa kwenda kushangilia jijini San Fransisco au Boston? kesho inawezakuwa ijumaa ya maamuzi kumaliza game 6 au Game 7 ndio itatupa bingwa. Timu ya …

Fainali ya NBA inazidi kunoga wakati huu ambao michezo 5 kati ya 7 imeshamalizika. Golden State Warriors wanaukaribia ubingwa msimu huu. Ushindi wa pointi 104-94, unawapa matokeo Warriors matokeo ya …

Baada ya miaka 12, Boston Celtics wamefanikiwa kutinga fainali ya NBA baada ya kuwamwaga Miami Heats. Licha ya kupoteza michezo 2 ya mwanzo, Celtics walirejea mchezoni na kuipambania tiketi ya …

Ngoma ngumu kunako fainali ya Eastern Conference kwenye NBA. Jimmy Butler akataa utumwa mbele ya Boston Celtics. Celtics waliingia uwanjani wakiwa wanaongoza kwa matokeo ya 3-2 baada ya michezo 5 …

Fainali ya NBA 2022 inanukia, timu ya kwanza imeshajulikana. Ni Golden State Warriors, mabingwa wa Western Conference 2022. Warriors wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali ya Western Conference baada ya kuwaburuza …

Fainali ya Western Conference kunako NBA inaendelea kunoga kati ya Golden State Warriors na Dallas Mavericks. Vijana wa Kerr wanajambo lao msimu huu. Baada ya kuwa na msimu mbaya mwaka …

Kama ambavyo LA Lakers walivyoshindwa kutetea ubingwa wa NBA msimu ulioisha, Milwaukee Bucks wamevuliwa rasmi ubingwa msimu huu. Bucks walitwaa ubingwa wa NBA msimu ulioipita na wameendelea kufanya vizuri msimu …

Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea kunoga viwanjani, Miami Heats imejihakikishia kucheza nusu fainali kunako Eastern Conference. Licha ya kuwakosa nyota wao ambao ni majeruhi kwa sasa, Heats wamefanikiwa kutinga …

Pengine hili lilitegemewa kama ilivyo kwenye soka, LA Lakers imemuachisha kazi aliyekua kocha wao, Frank Vogel. Vogel anaondolewa kwenye nafasi hiyo ambayo ameitumikia toka mwaka 2019 ambapo, alifanikiwa kuiongoza LA …

Safari ya matokeo mabaya kunako NBA msimu huu, imetamatika kwa LA Lakers kutupwa nje ya mashindano hayo kwa mwaka huu. Lakers wamejikuta wakimaliza mzunguko wa kwanza wakiwa nafasi ya 11 …

Songombingo za kugoma kuchanja chanjo ya Covid-19 zimemfanya akose baadhi ya michezo kwenye NBA. Lakini, Kyrie Irving ni wa moto… Wakati huu ambao James Harden ameondoka Brooklyn Nets na kujiunga …

Ule wakati wa kuitizama kwa makini ligi ya kikapu ya NBA unawadia. Ni muda wa kuiangalia michezo ya mtoano (Play-Offs), burudani ipo huku!! Pande zote mbili za Ligi ya NBA …

Baada ya kuambulia kipigo kwenye michezo 4 mfululizo, Brookyn Nets imezinduka kwenye mchezo wa 5. Kyrie Irving ajiwekea rekodi yake binafsi. Kwa mara ya 3 kwenye maisha yake ya kucheza …

Kamishna wa NBA, Adam Silver, alisema siku ya Jumamosi kwamba matarajio ya kuunda mashindano mapya wakati wa msimu yanakubalika zaidi na wachezaji. Alisema hayo Katika mkutano wake wa na waandishi …

Kevin Durant amezungumza na waandishi wa habari wa NBA kuhusu mfululizo wa matokeo mabovu ya kupoteza kwa Brooklyn Nets katika michezo 11 mfululizo. Kushuka kwa kiwango chao kumetokana na Durant …

1 2 3 4 9 10 11
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.