Kocha mkuu wa Celtics Brads Stevens ameongeza mkataba na timu hiyo ya NBA, hiyo ilitangazwa siku ya Jumatano. Mazingira ya dili hiyo hayakuwekwa wazi na Celtics ambao walimuajairi kocha huyo …
Makala nyingine
LeBron James ameeleza umuhimu wa Klye Kuzma katika timu ya Los Angeles Lakers katika mbio za kutwaa ubingwa wa NBA mwaka huu. Licha ya James na Anthony Davis kuwepo uwanjani, …
Kama ilivo kwa malegendari wote katika michezo yao, Kobe ameacha rekodi zilizotukuka katika uwanja wa kikapu. Sitazijadili leo. Inatosha tu kutambua kwamba amefanya mengi makubwa. Nataka nigusie maisha yake kidogo. …
Kalamu yangu hii inapewa nguvu na Emiliy Dickinson. Mshairi mahiri sana nchini Marekani. Emily alisema, “ukitaka dunia isikusahau, fanya makubwa, halafu ufe mapema.” Sijui alifikiria nini kusema vile, lakini maneno …
Mpira wa kikapu ni aina ya michezo inayopendwa katika sehemu nyingi za dunia na watu wengi hutamani mchezo huu. Mara nyingi hufanywa ukumbini wakati timu mbili za wachezaji wanajaribu kuingiza …
Beki wa Liverpool, Dejan Lovren yupo mbioni kujiunga na club ya Zenit St. Petersburg kwa ada ya pauni 11 milioni. Lovren alijiunga na Liverpool akitokea Southampton mwezi July 2014 kwa …
Kocha wa zamani wa Arsenal, Unai Emery ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Klabu ya huko La Liga, Villarreal kwa mkataba wa miaka mitatu ijayo. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka …
Nyota wa Huston Rockets Harden amefika mjini Orlando siku ya Jumanne kwaajili ya mashindano ya NBA yanayo tarajiwa kuendelea mwisho wa mwezi huu. Staa huyo alifika kwa kuchelewa baada ya …
Mabadiliko yaani Substitutions 5 zitaweza kuendeleaTimu zitaweza kuendelea kutumika kwenye mechi moja hadi mwisho wa msimu wa 2020/21. Baada ya shirikisho la soka Duniani “FIFA” kuchagua kuongeza utumizi wa sheria …
Nyota wa Los Angeles Lakers LeBron James amesema kwamba hatojihusisha na uvaaji wa jezi zenye ujumbe wa haki za kijamii wakati msimu wa NBA utakapoanza tena Orlando,Frolida. Wachezaji wengi wa …
Nafahamu mashabiki wa mpira wa kikapu duniani hawatapenda kupitwa na hii list iliyozitaja timu 5 za Baskteball kutoka kwenye ligi kuu ya NBA ambazo zimefanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi hiyo …
Ligi ya mabingwa ulaya ni mashindano ya mpira wa miguu yaliyo anzishwa na UEFA na timu washiriki ni za kutoka ligi kuu za Ulaya ili kupata timu bora ulaya nzima. …
Timu ya mpira wa kikapu nchini marekani Blooklyn Nets imefanya usajili wa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Michaell Beasley ili kuisaidia timu hiyo kunako ligi ya NBA. Timu imethibitisha …
Baada ya janga la Corona kusimamisha msimu wa NBA, sasa ni rasmi Ligi hiyo ya kikapu Marekani inarejea tena Julai 30. Michezo yote iliyobakia kwa msimu huu itakuwa tofauti na …
Tukiendelea na orodha yetu ya wachezaji bora wa mpira wa kikapu duniani, Leo tunaungana na Michael Jordan, Shaquille O’Neill, Kobe Bryant , Duane Wade na Carmelo Anthony. Michael Jordan. Michael …
Na kuanza orodha yetu ya wachezaji bora wa mpira wa kikapu duniani tukianza na; Clyde Drexler . Drexler alizaliwa 1963 huko New Orleans. Mwaka wa 1995, Clyde, akiwa sehemu ya timu …
Real Madrid wataendelea kuzitafuta alama tatu kuendelea kuongoza katika msimamo wa La liga pale watakapo safiri siku ya Jumapili mpaka Athletic Bilbao walio katika kiwango kizuri. Los Blancos wanaongoza ligi …
Mchezo wa soka umeshika hatamu mwishoni mwa karne ya 19 katika miaka ya 1850 mpaka 1900. Ndio kipindi ambacho mchezo huu pendwa zaidi duniani ulianzishwa na vilabu vingi vikongwe duniani …
Mchezaji wa kikapu Donovan Mitchell anayecheza katika timu ya Utah Jazz nafasi ya ulinzi, amezungumiza uhusiano wake na mchezaji mwenzake Gobert katika mkutano aliofanya kwa njia ya video siku ya …
Mchezaji wa kikapu kutoka timu ya Indiana Pacers Malcolm Brogdon amethibitishwa kupimwa na kukutwa na Virusi vya Korona. Brodgon mwenye umri wa miaka 27 amekuwa akionesha jitihada za kupigania haki …