Mpiganaji masumbwi uzito wa juu Deontay Wilder amesema anataka kupigana na Anthony Joshua bondia raia wa Uingereza mwenye asili ya Nigeria barani Afrika akiamini bado ni pambano namba moja. Deontay …
Makala nyingine
Ukiniuliza Picha yangu bora iliyoishi na sio kuishia ? Basi nitakurudisha tarehe 21 Mei 2008 kwenye Dimba la Luzhniki mjini Moscow, pale kwa Putin .ndipo ilipopigwa Picha yangu ya wakati …
Anthony Joshua bondia wa uzito wa juu na bingwa wa zamani wa mikanda ya dunia kama WBA,IBF,WBO, na IBO amesema yuko tayari kupambana na Tyson Furry. Bondia huyo mwenye asili …
Klabu ya chelsea ya Chelsea imeachana na beki wake mwenye asili ya Brazil anayecheza timu ya taifa ya italia Emerson Palmieri. Beki huyo wa kushoto aliejiunga na Chelsea mwaka 2018 …
Imeandikwa na Jemedari Said HATUA na kila hatua duah..! Kama unajua namna Simba na Yanga zilivyohangaika na mikataba ya kulaliwa laliwa, ukiona hivi unawapongeza. Kila upande umepata kutokana na thamani …
Anaandika Mwana Habari wa kituo cha Clouds Media Farhan Jr, Kwenye kurasa yake ya mtandaoni ya Instagram Hii ni TOKYO, Japan 🇯🇵 na huyu Jamaa anaitwa Dan Orlowitz ni Mwandishi …
KLABU ya Yanga imefikia makubaliano ya kuachana na kiungo wa Kimataifa wa DR Congo Chiko Ushindi ambaye alikuwa anacheza kwa mkopo akitokea kwenye klabu ya TP Mazembe. Msemaji wa klabu …
Baada ya kuwapoteza Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette, Arsenal inataraijia kumsajili mchezaji wa Manchester City na timu ya taifa ya Brazil, Gabriel Jesus. The Gunners wanataka kuongeza makali kwenye safu …
NBA mambo yanaeleweka huku mambo hayaeleweki ubingwa kwenda kushangilia jijini San Fransisco au Boston? kesho inawezakuwa ijumaa ya maamuzi kumaliza game 6 au Game 7 ndio itatupa bingwa. Timu ya …
Fainali ya NBA inazidi kunoga wakati huu ambao michezo 5 kati ya 7 imeshamalizika. Golden State Warriors wanaukaribia ubingwa msimu huu. Ushindi wa pointi 104-94, unawapa matokeo Warriors matokeo ya …
Wajerumani wnaa msemo wao maarufu sana unaosema “ Nur die Harten kommen in den Garten” ambao una maana “ wenye nguvu pekee ndio hushinda vita au kufika mwisho kishujaa “ …
Staa wa NBA LeBron James mchezaji wa kwanza wa mpira wa kikapu ambaye bado anacheza kuwa bilionea hii ni kwa mujibu wa jarida maarufu Forbes. Utajiri wa nyota huyo sasa …
Baada ya miaka 12, Boston Celtics wamefanikiwa kutinga fainali ya NBA baada ya kuwamwaga Miami Heats. Licha ya kupoteza michezo 2 ya mwanzo, Celtics walirejea mchezoni na kuipambania tiketi ya …
Ngoma ngumu kunako fainali ya Eastern Conference kwenye NBA. Jimmy Butler akataa utumwa mbele ya Boston Celtics. Celtics waliingia uwanjani wakiwa wanaongoza kwa matokeo ya 3-2 baada ya michezo 5 …
Fainali ya NBA 2022 inanukia, timu ya kwanza imeshajulikana. Ni Golden State Warriors, mabingwa wa Western Conference 2022. Warriors wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali ya Western Conference baada ya kuwaburuza …
Mchezo wa leo wa fainali ya UEFA Conference League timu zote zimepanga kuanza na washambuliaji wake kwenye vikosi vyao vya kwanza huku wachezaji wote waliokuwa wanasemekana kukosa wamejumuishwa kwenye vikosi. …
Fainali ya Western Conference kunako NBA inaendelea kunoga kati ya Golden State Warriors na Dallas Mavericks. Vijana wa Kerr wanajambo lao msimu huu. Baada ya kuwa na msimu mbaya mwaka …
Kama ambavyo LA Lakers walivyoshindwa kutetea ubingwa wa NBA msimu ulioisha, Milwaukee Bucks wamevuliwa rasmi ubingwa msimu huu. Bucks walitwaa ubingwa wa NBA msimu ulioipita na wameendelea kufanya vizuri msimu …
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea kunoga viwanjani, Miami Heats imejihakikishia kucheza nusu fainali kunako Eastern Conference. Licha ya kuwakosa nyota wao ambao ni majeruhi kwa sasa, Heats wamefanikiwa kutinga …
Pengine hili lilitegemewa kama ilivyo kwenye soka, LA Lakers imemuachisha kazi aliyekua kocha wao, Frank Vogel. Vogel anaondolewa kwenye nafasi hiyo ambayo ameitumikia toka mwaka 2019 ambapo, alifanikiwa kuiongoza LA …