Makala nyingine

Ligi ya NBA imeendelea leo alfajiri. Timu kadhaa zilikua uwanjani kutafuta pointi muhimu kwenye vilabu vyako. LA Lakers wamefanya yao dhidi ya Detroit Pistons. Licha ya kuzidiwa kwa pointi 17, …

Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea viwanjani. Msimu wa 2021/22 kunako NBA ni visa na mikasa. Vipigo vya kila namna kwa wasiotegemewa kupoteza michezo. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani kuchuana na …

Baada ya vipigo kwenye michezo iliyopita kunako NBA, Utah Jazz na Milwaukee Bucks wamerejea kwenye ushindi. Jazz walikuwa uwanjani kuchuana na Atalanta Hawks alfajiri ya leo. Jazz aliingia uwanjani akiwa …

Ligi ya NBA inaendelea kupamba moto viwanjani, baadhi ya wachezaji vinara wa ligi, wameendelea kutoa burudani viwanjani wikiendi hii. Kevin Durant, alijikuta akitolewa nje ya uwanja mwishoni mwa kipindi cha …

Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo (Jumamosi). LA Lakers na Miami Heats, wamerejea mzigoni. Baada ya kupoteza michezo yao (kabla ya wikiendi hii), hatimaye timu hizi zimeonesha …

Kwa wadau wa kutengeneza faida kupitia mikeka, sio soka tu, hata NBA imewalaza watu njaa. Vigogo wameambulia vichapo kila mmoja kwa nafasi yake. Licha ya kuongoza kwa pointi 26, LA …

NBA msimu wa 2021/22 unaendelea kusogea, burudani inaendelea kunoga kila uchwao. Utah Jazz, LA Lakers, Warriors ni ushindi tu. Jazz walikua uwanjani kuchuana na Denver Nuggets katika mchezo wa 4 …

Pengine huu ndio msimu ambao tutaona utatu wa Brooklyn Nets ukionesha ubora wao. Kuelekea huko, Kevin Durant (KD) ameanza kuonesha njia. Wakati Nets ikiendelea kumkosa Kyrie Irving kutokana na suala …

Mzunguko wa pili kunako NBA umeendelea usiku wa kuamkia leo. Brooklyn Nets wamerudi mchezoni wakati LA Lakers wakiendelea kupoteza michezo yao. Nets walikuwa uwanjani kuchuana na Philadelphia 76ers. Baada ya …

Ni wiki ya 2 kunako Ligi ya NBA nchini Marekani na timu mbalimbali zimeendelea kuonesha uwezo viwanjani. Hakika, Golden State Warriors gari limewaka! Baada ya kuwacharaza LA Lakers kwenye mchezo …

Msimu mpya wa Ligi ya Kikapu nchini Marekani, NBA imeanza rasmi! Baadhi ya mastaa wa NBA wameonesha ubora wao kwenye michezo miwili ya ufunguzi. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani kuanza safari …

Joto linaongezeka miongoni mwa wadau, mashabiki na wachezaji wa ligi ya NBA kuelekea msimu mpya, 2021/22. Jumanne hii, mambo ni moto! Ligi ya NBA inatimiza miaka 75 tangu kuanzishwa kwake. …

Hakika kizuri kinajiuza! Kwa wafatiliaji wa ligi ya NBA, hakika jina Mikal Bridges sio geni masikioni mwenu. Ukiizungumzia Phoenix Suns, ni sawa na kumtaja Mikal Bridges. Mchezaji aliyejaliwa uwezo wa …

Msimu wa 2020/21 kunako NBA, uligubikwa na matokeo ya kila namna. Walikuepo walioshuka viwango, underdogs, chipukizi na wapindua meza. Kulinoga! Sio Lakers wala Warriors walioweza kufua dafu mbele ya Milwaukee …

Kuelekea msimu mpya wa NBA 2021/22,  Brooklyn Nets huenda ikamkosa nyota wake, Kyrie Irving kwa muda usiojulikana. Hii ni baada ya Irving kuwa miongoni mwa wachezaji ambao hawajapata chanjo ya …

1 2 3 4 5 6 7 15 16 17
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.