Uwezekano wa Manny Pacquiao kupigana na Terence Crawford baadaye umeibuka.
Kulingana na ripoti kutoka The Daily Tribune ya Ufilipino, Pac Man tayari ameweka masharti kulingana na fedha.
Pacquiao mwenye umri wa miaka 42, ambaye alituma tweet siku chache zilizopita alifahamisha kuwa amerudi mazoezini na anatarajia pambano lake lijalo, moja ambayo itaongeza zaidi urithi wake, ameripotiwa kumtaka Bob Arum Dola milioni 40 kupambana na bingwa anayetawala ubingwa wa WBO welterweight.
“Ningependa kupigana na mtu ambaye ana jina,” Pac Man alisema kwa muandishi. “Tulimwambia Bob Arum napata dola milioni 40 na Crawford anapata dola milioni 10. Nitapambana na mtu yeyote. Unanijua; Huwa sihofii kukabiliana na yoyote. Walete. ”
Lakini Arum anaweza kusita swala la kumlipa Manny mkwanja mwingi? Dola milioni 40 ni kiasi kikubwa cha pesa. Dola milioni 50 kwa jumla itafanya pambano hilo litokee.
Neno ni kwamba pambano hili linaweza kufanyika Dubai mwezi Mei 15 ikiwa itatokea, na labda, watu wenye pesa wakikubali kulipa aina kubwa ya pesa kama hiyo huenda tukashuhudia pambano la Pac mwaka huu.
Treasure Heroes inakupa nafasi ya kupambania ushindi wako mkubwa kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet! Usisubiri hii, jiunge sasa kufurahia ushindi!
Neema juma
Mapambano hayo yatakuwa ya kishujaaa Sana
Magdalena
Asije akataka mkwanja mrefu qrafu akachapwa
Caroline
Hili pambano si la kukosa
Sadick
Hela ndio kila kitu kwenye ulimwengu huu, hapa tatizo dau lakini Pac Man yupo tayari kupigana
Dorophina
Mpinzani wake asije akamchapa alafu ameshabeba mkwanja mrefu wote huo wapenzi wa ndondi tunasubilia kwa hamu
Venerose
Mmmh mashabiki tunasubir tuone
Hopemwaikuka
Mwamba PAC anajiamin sana
Rahma
Pambano kali sana
Sarah
Mpambano utakuwa mkali sana
Angelina
Huu mpambano utakuwa wa aina yake
Issa
Paquiao antafuta hela
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri tuuu
warda
Kweli awekewe mzigo mezani