Klabu ya Liverpool na Bayern Munich zimeingia kwenye vita kali ya kumuwania kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ambaye anafanya vizuri kwasasa barani ulaya. Vilabu vya Liverpool na …
Makala nyingine
Gwiji wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Liverpool, na Bayern Munich Xabi Alonso ambaye kwasasa ni kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen ameendelea kuishangaza ulaya. Xabi Alonso anaendelea kufanya …
Magolikipa wawili wa klabu ya Fc Bayern Munich Manuel Neuer ambaye ni golikipa namba moja wa klabu hiyo pamoja na Sven Ulreich golikipa namba mbili wamefanikiwa kuongeza mikataba ndani ya …
Harry Kane anasema anahisi yuko nyumbani Bayern Munich baada ya kufunga bao lake la 18 la Bundesliga msimu huu. Bayern walitawala pambano lao la jana usiku huko FC Cologne …
Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ameendelea alipoishia na hii ni kutokana na mwenendo wa klabu hiyo katika michezo ya klabu hiyo msimu huu. Xabi Alonso ameiongoza tena …
Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen ya Ujerumani raia wa kimataifa wa Hispania Xabi Alonso ameendelea kupiga kazi iliyotukuka ndani ya klabu hiyo inayoshikriki ligi kuu ya Ujerumani. Bayern Leverkusen …
Harry Kane alifunga hat-trick yake ya pili msimu huu wa Bundesliga wakati Bayern Munich ya wachezaji 10 ikiibuka na ushindi wa dakika 45 za pili na kuwashinda wachezaji tisa wa …
Nahodha wa klabu ya Bayern Mnunich Manuel Neuer ambaye alikua akisumbuliwa na majeraha ya muda mrefu imearifiwa atarejea kuitumikia timu hiyo rasmi katika mchezo wa ligi kuu ya Ujerumani hapo …
Klabu ya Bayern Leverkusen chini ya kocha Xabi Alonso wanaendelea kukiwasha kunako ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga baada ya leo kushinda mchezo wao tena dhidi ya Fc Cologne. Xabi Alonso …
Beki wa kimataifa wa Uholanzi Mathias De Ligt amesema kua alijiunga na klabu ya Bayern Munich kwakua ni rahisi kushinda taji la ligi ya mabingwa ulaya ukiwa na klabu hiyo. …
Mkurugenzi wa klabu ya Bayern Munich amethibitisha kua klabu hiyo itaingia sokoni katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari ambapo wataboresha maeneo kadhaa katika kikosi chao. Mkurugenzi Freund amesema timu …
Klabu ya Rb Leipzig imemtamani kiungo wa kimataifa wa Uholanzi Xavi Simons kwa uhamisho jumla kutokana na ubora ambao anauonesha kinda huyo ambaye yupo kwa mkopo klabuni akitokea klabuni hapo. …
Harry Kane alifunga bao lake la 300 katika maisha yake ya soka huku Bayern Munich na Bayer Leverkusen zikitoka sare ya 2-2 katika tamasha la kusisimua. Zikiwa zimesalia …
Klabu ya Bayern Munich imepanga kurejea kwa kiungo wa kimataifa wa Ureno anayekipiga klabu ya Fulham Joao Palhinha mwezi Januari na kufanya jaribio la kumsajili kwa awamu nyingine. Kiungo Joao …
Robert Lewandowski amepongeza usajili wa Bayern Munich wa Harry Kane. Nahodha wa Uingereza Kane, 30, alijiunga na mabingwa hao wa Bundesliga kutoka Tottenham mapema mwezi huu kwa mkataba wa miaka …
Mshambuliaji wa klabu ya Eintracht Frankfurt na timu ya taifa ya Ufaransa Kolo Muani amekaribia kujiunga na mabingwa ligi kuu ya Ufaransa klabu ya PSG baada ya kufikia makubaliano. Kolo …
Harry Kane alifunga na kusaidia Bayern Munich katika mechi yake ya kwanza ya Bundesliga dhidi ya Werder Bremen katika ushindi wa 4-0. Rekodi ya usajili ya Bayern iling’aa chini …