Klabu ya Manchester City imefanikiwa kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Luton Town kwa jumla ya mabao matano kwa moja. Manchester …
Makala nyingine
Klabu ya Tottenham Hotspurs imekutana na kitu kizito baada ya kuambulia kipigo cha mabao manne kwa bila mbele ya klabu ya Newcastle katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza. Mchezo …
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameweka wazi kua sera na utamaduni wa klabu hiyo ni kushinda mataji na yeye mwenyewe yupo ndani ya timu hiyo kwajili ya kushinda. …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amewaomba radhi mashabiki wa klabu hiyo baada ya kupoteza mchezo wa robo fainali wa michuano ya Europa League usiku wa jana. Klabu ya …
Klabu ya Chelsea imeendelea kuandamwa na majanga kwani wachezaji wake muhimu wanaendelea kupata majeraha ambapo wachezaji wawili wa klabu hiyo wamepata majeraha tena. Kiungo Enzo Fernandez na beki Axel Disasi …
Klabu ya Liverpool imeponea chupuchupu katika dimba la Old Trafford mbele ya mashetani wekundu katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza ulipigwa jioni ya leo na kumalizika kwa sare ya …
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Marcus Rashford amerejea kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo dhidi ya Liverpool leo baada ya kuanzia kwenye mchezo dhidi ya Chelsea. Rashford alianzia …
Kocha wa klabu ya Arsenal Mikel Arteta ameonesha kuvutiwa na kiwango cha beki wake wa kulia raia wa kimataifa wa Uingereza Ben White na kuamua kumpa maua yake hadharani. Kocha …
Klabu ya Manchester United leo watakua nyumbani katika dimba lao la Old Trafford wakiikaribisha klabu ya Liverpool katika mchezo wa kukata na shoka wa ligi kuu ya Uingereza. Mchezo kati …
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa mabao matatu kwa bila mbele ya klabu ya Brighton and Hove Albion. …
Kiungo mahiri wa klabu ya Manchester City Kevin de Bruyne ameweka rekodi ndani ya klabu hiyo leo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi …
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao manne kwa mawili dhidi ya klabu ya …
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Ange Postecoglou amesema mshambualiaji wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Brazil Richarlison atakosekana katika mchezo wa jumapili dhidi ya klabu ya Nottingham Forest. …
Kocha wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Erik Ten Hag inaelezwa bado ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo zaidi licha ya matokeo yasiyo ya kuridhisha hivi …
Cole Palmer alifunga hat-trick wakati Chelsea ikifunga mabao mawili dakika za lala salama na kuwachapa Manchester United 4-3 kwenye Uwanja wa Stamford Bridge. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester City …
Phil Foden kiungo wa klabu ya Manchester City amempa maua kiungo mwezake wa klabu hiyo Rodri baada ya mchezo wao wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Aston …
Klabu ya Chelsea itaweza kufuta uteja kwa klabu ya Manchester United leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza utakaopigwa usiku wa leo ndio kitendawili kikubwa kwa matajiri hao wa …