UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
Makala nyingine
ULIANZIA WAPI HASA? Kwa zaidi ya miaka 2000, Wachina wamekuwa wakicheza mpira wa cuju au zuqiu, ambao hutamkwa tsoo-joo unaohusu upigaji mpira shuti kwa kutumia mguu kwa Kiingereza “kickball”. Neno hilo hutumika kumaanisha kandanda hadi …
Ningepata mtu anihakikishie sio kufuru, ningesema hajazaliwa na mwanamke kama binadamu wengine. Ningepata mtu anihakikishie sio dhihaka, ningesema alitengenezwa maabara sawa na maroboti wenzake. Ningepata mtu anihakikishie sio dharau ningesema …
Michuano ya Kombe la Dunia imemalizika nchini Urusi, lakini licha ya mchezo huo kuwa na ufuasi mkubwa, ni wachache sana ambao hutafakari kuhusu chanzo cha mchezo huu maarufu. Suala hilo …
Uingereza itajaribu kuyafukuza mapepo ya usiku wa Euro mwaka 2016 wakati walipokutana na Iceland kwa mchezo wa kwanza tangu miezi 10 ipite. Timu ya Gareth Southgate Three Lions itasafiri mpaka …
FIFA inawasaidia wachezaji wa soka wenye uraia wa nchi zaidi ya moja kubadili kuwakilisha timu ya taifa hata kama walishaichezea nchi nyingine lakini Kuna sheria za kufuatwa – Haya ni …
Kingsley Coman amesema atawashauri wachezaji wenzake wa Bayern Munich namna ya kumzuia nyota wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe siku ya fainali ya Champions League. Mbappe alikuwa akisumbuliwa na jeraha la …
Mchezo wa soka umeshika hatamu mwishoni mwa karne ya 19 katika miaka ya 1850 mpaka 1900. Ndio kipindi ambacho mchezo huu pendwa zaidi duniani ulianzishwa na vilabu vingi vikongwe duniani …
Samuel Umtiti ambaye ni mchezaji beki wa taifa la Ufaransa ametoboa ukweli kwamba wachezaji wote wa taifa lao la Ufaransa walikuwa waoga kwenye mtanange dhidi ya taifa la Argentina kwenye …
Shirikisho la Kandanda Ujerumani limekataa katukatu kuhusika na tuhuma za ubaguzi kwa mchezaji Mesut Özil na kuwa lilipaswa kuwajibika kuhakikisha kuwa mchezaji huyo hapitii ubaguzi wowote ule. Mchezaji Özil alitangaza …
Msakata kabumbu Mesut Ozil amejitoa kucheza kwenye timu ya taifa ya Ujerumani! Anasema kuwa yeye amestaafu kwa sababu ya ubaguzi wa rangi na dharau kutoka kwa Chama cha Soka Ujerumani …
Hatua ya Nusu ya Fainali ya kwanza ya michuano ya Kombe la Dunia Urusi inatimua vumbi leo kwa mtanange mmoja kuchezwa dimbani Saint Petersburg. Itakuwa ni kati ya Ufaransa na …
Hapo jana usiku mara baada ya Ubelgiji kuwatwanga Brazil kwa magoli 2-1 wamefanikiwa kuingia nusu fainali na inakuwa ni mara ya pili kwao kufikia hatua kama hii. Jikumbushe Kwa mara …
Hatutegemei kwamba kocha Vladimir Petkovic akiwa na mchezaji wake staa Xherdan Shaqiri wataruhusu kuchezea kichapo mbele ya Sweden hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mwaka huu 2018 inayoendelea kule …
Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …
Real Madrid imesaini mkataba wa muda wa miaka 6 na mchezaji kinda Andriry Lunin. Huyu anatokea Ukraine kwa klabu ya Zorya Luhansk. Kwa sasa kinda huyo ana umri wa miaka …
Leo ndiyo leo dimbani! Ivan Rakitic, Luka Modric na Ivan Perisic ni viungo bora kwenye michuano ila walishindwa kabisa kufanya kitu kwenye hatua ya makundi kwenye mara tatu za mwisho …
Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …
Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …
Kocha mkuu wa taifa la Uruguay, Oscar Tabarez anakiongoza kikosi chake leo ikiwa ni baada ya kampeni ya mwisho ya Uruguay kwenye Kombe la Dunia iliyoshuhudiwa Suarez akimng’ata Giorgio Chiellini! …