Makala nyingine

Mchezaji wa klabu ya Atletico Madrid Joao Felix anayekipiga kwa mkopo klabu ya Barcelona ameonesha kutamani mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Ureno Bernardo Silva kujiunga na Barcelona. Akifanya mazungumzo na …

Klabu ya Fc Barcelona inaelezwa inakaribia kuipindua klabu ya Liverpool katika kumuwania kocha wa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno Ruben Amorim ambaye anawaniwa na klabu ya Liverpool. Barcelona mwishoni …

Klabu ya Villarreal imefanikiwa kumpa mkataba mpya kiungo wake mkongwe Dani Parejo ambaye ataendelea kuwepo kwenye viunga vya Estadio de la ceramica mwaka 2026. Kiungo huyo ambaye ana miaka minne …

Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti ameonekana kukanusha tena habari zinazomuhusisha yeye kujiunga na timu ya taifa ya Brazil. Ancelotti akifanya mazungumzo na …

Rais wa klabu ya Fc Barcelona  Joan Laporta amesema kua hana wasiwasi na mustakbali wa kiungo wao raia wa kimataifa wa Uholanzi Frenkie De Jong kwakua hana mpango wa kutimka. …

Klabu ya Real Madrid wanaelezwa kuanza mawindo kwa beki wa kulia wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Uingereza Tren Alexender Arnold ambaye mkataba wake uko mbioni kumalizika. Real …

Klabu ya Real Madrid inapanga kumpa mkataba mpya golikipa wake namba mbili raia wa kimataifa wa Ukraine Andriy Lunin ambaye kwasasa anafanya vizuri kwasasa klabuni hapo. Golikipa wa huyo wa …

Klabu ya Real Madrid inaelezwa inamfatilia kwa karibu beki hodari mwenye umri  wa miaka 18 anayekipiga klabu ya Lile ya nchini Ufaransa akifahamika kama Leny Yoro. Real Madrid inamfukuzia kwa …

Mkurugenzi wa ufundi wa klabu ya Barcelona Deco amesema beki wa klabu hiyo Ronald Araujo raia wa kimataifa wa Uruguay atasaini mkataba mpya akihitaji kwani upo tayari. Deco amezungumza hayo …

Golikipa wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ubelgiji Thibaut Courtois ameuaga msimu rasmi baada ya kupata majeraha ambayo yatamueka nje ya uwanja kwa miezi miwili. Golikipa Courtois …

Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid Alvaro Morata ametuma ujumbe kuoitia mitandao yake ya kijamii na kueleza kua majeraha ambayo aliyapata jana sio makubwa kama alivyodhani. Morata jana alitoka uwanjani …

Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameweka wazi kua klabu hiyo haina mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari licha ya majeraha ambayo wamekua wakiyapata. …

Klabu ya Real Madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari, Hili limethibitishwa na kocha wa klabu hiyo Carlo Ancelotti leo akiongea na waandishi wa …

1 2 3 4 90 91 92