Wakati Juventus wakiwa tayari wametangaza ubingwa huku wakiwa na michezo miwili mkononi, bado vita ya kumaliza nafasi za juu Serie A inazidi kupamba moto.
Inter walikaa katika nafasi ya pili mwishoni mwa wiki kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Genoa, wakati Atalanta walitoa sare dhidi ya AC Milan Ijumaa iliyopita na kukaa nafasi ya tatu kwenye msimamo.
Conte amekuwa akipambana kukaa nafasi za juu iliaweze kushiriki michuano ya Ulaya, aliongea wiki iliyo pita “Nafasi ya pili ni kama haina maana katika macho yangu, ni kama kupoteza”
kocha wa Atalanta Gian Gasperini alijibu ujumbe wa Conte kwa kusema Kumaliza katika nafasi ya pili katika ligi yatakuwa ni mafanikio makubwa kwa upande wa timu yake lakini kabla klabu mbili hizi hazijakutana mwisho wa wiki zote zitakuwa dimbani jioni ya leo.
Kwa upande wa Atalanta hakuna kitu kama hicho. Bergamo wao wanachokiangalia ni kumaliza katika nafasi za juu haswa nafasi ya tatu ambayo ni nafasi nzuri katika historia yao na wachezaji wanautolea macho mchezo wa Jumapili katika kuhitimisha ratiba ya Serie A na kuenda katika nafasi bora zaidi.
Atalanta watawatembelea Parma waliyo katikati mwa msima wa ligi ambapo mchezo wao wa awali Atalanta alishinda 5-0 mwezi Januari.
Lakini pia wameshinda michezo yao mitatu waliyokutana na wachezaji wawili wa kutoka katika timu hiyo wamefanana katika ufungaji wachezaji hao ni Duvan Zapata na Luis Muriel wote wana magoli 18 kila mmoja.
Washambuliaji hao wa Colombia wanaweza kuwa wachezaji wa kwanza kwa pamoja kufikisha magoli 20 au zaidi katika Serie A wakiwa katika timu moja kwa msimu mmoja tangu Alessandro Del Piero na David Trezeguet wakiwa katika klabu ya Juventus mwaka 2007-08.
Kocha wa Napoli Gennaro Gattuso ameshinda Serie A mara mbili na Champions League wakati alipokuwa mchezaji wa AC Milan ndani ya kipindi cha miaka 13, lakini bado anapambana kutwaa taji la kwanza akiwa kama kocha.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Omary lukumbi
Hongera yao atalanta
Issa
Atlanta top 4 watapita tu
Flomena
Conte amekuwa akipambana kukaa nafasi za juu iliaweze kushiriki michuano ya Ulaya, aliongea wiki iliyo pita “Nafasi ya pili ni kama haina maana katika macho yangu, ni kama kupoteza”
Frank Patrick
Atalanta kabakiza goal chache tu afikishe 100+ goals per season
Tatu
Asante kwa makala
felister
big up atalanta
Zeiyana
Hii mechi hitakua si ya haina yake kwani kila mtu anagomabania nafasi yake ukiangalia Atlanta wao wanagombani nafasi ya pili ikiwa Bergamo wao wanna choking alia ni kumaliza nafasi za juu haswa nafasi ya tatu amabayo ni nafasi mzuri katika historia yao
caroline
atalanta yupo nafasi nzuri
sabrina
Hongera sana Atalanta
Lydia Emmanuel Magoti
Ongera yao Atalanta
Ester jackson
Hongera yake mana kuna timu nyingi tu zilitamani kuwa nafasi ya NNE lakini wamekosa
Furahav
Atalanta ni timu kubwa sana,lazima afike top 4.
Hope mwaikuka
Gud
Amiri Kayera
Ni hatua nzur
Dorophina
Ongera kwao atalanta kwa kusogea
Fatuma kasomo
Safi
Gabriel
baada ya kuifunga mabao 4-1 timu ya Sassuolo kana kwamba mechi hiyo ilikuwa tukio kuu. Lakini kuanza tena kwa mechi za soka huko Bergamo ni habari kubwa zaidi kuliko kilichotokea uwanjani. Siku 103 zimepita tangu Atalanta iibuke na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Valencia katika mashindano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya mechi inayoelezwa kuharakishwa kuenea kwa virusi vya corona na kugeuza Bergamo kuwa sehemu kubwa ya janga hili.
Nani angesahau picha za malori ya jeshi la Italia kusafirisha mamia ya majeneza nje ya mji kwa sababu nafasi ya kuzikia miili ya watu ilikosekana? Takribani watu 6,000 walifariki dunia mnamo mwezi Machi mwaka huu ila kwel kwamba n habar njema sana kwa Atalanta kuinuka zaid
Theckla
Wakaze buti tu
Magdalena
Atalanta pambaneni mfikishe rekodi ya goal nzuri zaidi
Povel
Atlanta top 4 wakaze buti tuuuu hapo
tumaini
Maoni:safi
Saupha mohamed
Hongera yao
Janeflora malisa
Habar njema
Shafii
Hongera yake Sana.
Shafii
Wanastahili pongezi.
Genia Sikaluzwe
Ni hatua nzuri Sana kwa Atlanta
Samiah
Wanastahili pongezi
Rehema
Safi sana Atlanta
Mwanahamisi
Hongera yake
mwajumah
Hongera yake sana#Meridianbettz
Latifa juma mohamed
Nice Atalanta.
David Pere
Atalanta wslionyesha kabisa Kama wanahitaji kumaliza nafasi za juu ili washiliki UEFA
aisha
Atalanta wako vizuri sana
farida ahmadi
Hongera Sana Atalanta
Khadija
Hongera yake atalta#meridianbettz
Tahiya
Mmpamban sana kuisak iyo nafasi
Salma ngende
Wanastahili pongezi
Sadick
Nilidhani Conte na Inter yake msimu huu ingenyang’anya JUVENTUS ufalme wa Serie A lakini mambo hayajakwenda vile nilivyotarajia. Atalanta imekuwa ikifanya vizuri sana miaka ya karibuni#meridianbettz
devotha
pongezi kwao
Ernest
Atalanta wamekuwa na msimu mziru sana mwaka huu
warda
Kwa Habari za uchambuzi mko poa sana