Josep Maria Bartomeu anachukuliwa kama “kondoo mweusi” na hatendewi haki kwa kukosolewa katika klabu ya Barcelona hii ni kwa mujibu wa Ramon Calderon.
Bartomeu yupo kwenye sintofahamu ya kupigwa chini Camp Nou baada ya Messi kuomba kuondoka Blaugrana mwisho wa mkataba wake hii ni baada ya kuwa na msimu mbaya kwa klabu hiyo kwa kukosa taji lolote.
Mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or mara sita ameomba kuihama klabu hiyo siku chache baada ya Barcelona kupokea kipigo cha aibu cha 8-2 kutoka kwa mabingwa wa Championbs League Bayern Munich.
Lakini Calderon, ambaye kipindi cha nyuma aliwahikuwa Rais wa Real Madrid, amepata huruma kwa kinachoendelea kwa Bartomeu, ambaye nafasi yake itachukuliwa na mtu mwingine baada ya uchaguzi mwezi Machi mwaka ujao.
“Kukaa kwenye kiti hicho ni kazi ngumu sana,” Calderon aliiambia Stats Perform News. “Ni ngumu sana kuliko watu wanavyo chukulia.
“Bado Kuna mbinu nyingi, kipindi mambo yanaenda poa sifa huenda kwa wachezaji.Hilo ni kawaida rais kuwa kondoo mweusi.
“Huyu ni mtu ambaye anashitakiwa kama hatosajili mchezaji au kutoruhusu mchezaji ambaye hatakiwi na mashabiki kuihama klabu. Sipendi kabisa jambo hili.
“Sina maelezo niliyo ya chambua vizuri lakini nadhani Bartomeu amekuwa rais mzuri sana katika klabu ya Barcelona, kuanzia nilipo mjua na jinsi ninavyo muaona.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
Nasra
Anastahili kwa kazi nzuri
Mwanahamisi
Pongezi kwake
rama
sawa ndo mpira mashabiki wa barcelona inapaswa wasilaumu sana timu ilikiwa vizuri kwa misimu mingi sana wajipange msimu hujao sasa
Adelta
Ni raisi mzuri sana wa Barcelona Ila anatakiwa kufanya kazi ya kubadilisha upya vikosi vyake ili kuimarisha klabu
Ester jackson
Kuondoka kwa messi kutaleta zahama ya viongozi kupoteza vibaruwa vyao mana inaonekana watu wengi kuchukizwa na tendo la messi kuondoka Ni kwamba kabla ya timu ya back na Bayern kukutana messi alisema kwamba bodi zima ibadilishe ili timu iwe bora inavyoonekana viongozi ndio chanzo cha matokeo mabaya ndio mana messi anasepa.#meridianbet
Dorophina
Bartomeu ni kiongozi mzuri kwa Barca lakini hili sakata la kuchezea kichapo cha goli nane kitawafanya watu kutimuliwa hata kama majukumu yako uliyafanya vizuri itaonekana amna kitu
Fatina mfigi
Hongera kwake Ila Barcelona wasikate tamaa wajipange vizur kwa msimu ujao mbona miak mingi timu ilikuwa fiti
Caroline
Anayosema Calderon ni kweli kabisa
Latifa juma mohamed
Ni raisi mzur sana Barcelona.
aisha
Jongera sana calderon umefanya mengi
Sauda
Anastahili pongezi
Lydia Emmanuel Magoti
Bartomeu nikiongozi mzuri Sana kwa Barcelona na Barcelona ni krabu kubwa Sana kwakupigwa zie goli 8-2 zimewafedhehesha watu Sana nakila moja ataiyona timu chungu kwa sekeseke Hilo nawatu kutimuliwa kuondoka kwaio wanze upya sasa
Sadick
Ni jambo la kushangaza kwa aliyekuwa Rais ya Real Madrid kumusifia Rais wa timu hasimu yake Barcelona. Kwa bahati mbaya Ramon Calderon mwenyewe alilaumiwa kutokuwa kiongozi mzuri akiwa Real Madrid#meridianbettz
Ernest
Siku zote mazuri ya mtu usaulika mapema sana
Gabriel
Hapa matukio yote yanatokea kwasababu ya kuondoka kwa Messi Barcelona hilo ndo tatizo la kumtegemea mchezaji mmoja
Povel
Anastail pongez kwake ila hv now wapo kwny kipind cha mpito walioweng wanamlaumu Kama ww na bodi yake hawapo vzr ila ni kiongoz mzur sana
Fatuma kasomo
Pongezi kwake
Mwajumah
Pongezi kwake
Khadija
siku zote mazuri ya mtu usahurika kwa mara moja#meridianbettz
Sabrina
Kwa sababu ya Messi Barcelona wameanza kukusoana Barca Washa yumba wasilaumiane waweke mambo sawa tu
Neema
Sifa njema sana hizi
Zeiyana
Daaah..!wana ali ngumu sana sasa hivi uwongozi wa Barcelona kwanza kupoteza mchezaji hambaye si watarajio yao kuondoka hivi punde pili wanofia na mashabiki pia kuondoka
Amiri Kayera
Yote kwaajir ya mess anaonekan raisi ana mana
Saupha mohamed
Kiongozi mzuri sana
Furahav
Nayeye aende.
Frank P
Hili swala linanifurahishaga sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema hizo
farida ahmadi
Hanastaili kupata pongezi
Theonestina
Anastaili kwa kwer
David Pere
sawa ndo mpira mashabiki wa barcelona inapaswa wasilaumu sana timu ilikiwa vizuri kwa misimu mingi sana wajipange msimu hujao sasa
Leonard
Rais wa backa amefanya mengi mazuri
warda
Calderon Amejitahidi sana
magdalena
anastahili pongezi yupo vizuri saa katika swala zima la ongozi
Shafii
Uwongozi anaujua yuko vizuri.
Hope mwaikuka
Namuelewa huyo
Rose kapinga
Ndio tunavyotaka hivyoo!!!
Samiah
Pongezi kwao
Devotha
Good newz