Ronald Koeman ni kama yupo kwenye kiza ndani ya klabu ya Barcelona. Matokeo ya michezo ya hivi karibuni, yanaipoteza picha ya Barcelona tuliyoizoea kwenye ulimwengu wa soka. Pep Guardiola anaamini ni suala la muda tu.
Pep na Koeman waliwahi kucheza pamoja katika kikosi cha Barca kabla ya mwaka 1995 ambapo Koeman alijiunga na Feyernood.
Kwa sasa wote ni makocha, Pep aliwahi kuiongoza Barca kwa miaka 4 na kubeba mataji 14. Koeman ndio yupo kwenye kiti hicho kwa sasa wakati ambao Guardiola yupo Man City.
Kufuatia matokeo mabaya kwa Barca, Pep anaamini Koeman anahitaji muda wa ziada ili kuipata Barcelona anayoitaka. Guardiola anaamini Barcelona inaweza kurudi kwenye ubora wake endapo uongozi wa Barca utampatia muda wa kutosha Koeman.
“Muda mwingine unahitaji muda zaidi ili kufanikisha kila kitu. Hasa Barcelona chini ya Ronald, kwa ugeni wake, anahitaji muda zaidi.
“Nina hakika watarejea wanapostahili kuwa.” amesema Guardiola.
Koeman ataiongoza Barcelona katika mchezo wake wa kwanza wa El Clasico kama kocha wa timu hiyo leo jioni. Real Madrid nao wanapambana na magumu yao na pengine mchezo wa leo utaleta tumaini jipya kwa timu hizi.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Kabogolo II
Kweli kabisa maana timu imeisha sana ile kwasasa
Theonestina
Kweli
Elika
Ameongea kweli kabisa
Khadija
Duh!!!mambo c mambo
Adelta
Yuko sahii kabisa
zeiyana
hujio wake hunaweza hukaleta mafanikia makubwa timu himeshuka sana viwango vyake
Mwanahamisi
Yuko sahihi kabisa
Mwajumah
Ameongea kweli yan
Hopemwaikuka
True say
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli yupo sahii wa mpe muda
Tatu
Koeman tatizo mbishi ataki kusikiliza ushauli wa watu
Sauda
Kweli kabisa
Povel
Lawama jana sikwa kocha wachezaj wa Barcelona wamechez chn ya kiwango jana ndo maana wamepoteza mchezo ule jana kocha na benchi lake la ufundi wanapaswa kupew muda kuzid kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza jana iliyasiwez kujirudia michezo ijayo
Fatuma kasomo
Yuko sawa
Saupha mohamed
Kweli kabsa
Issa
Muda unahitajika kwake
aisha
Ni vyema kabisa kama akipata muda
Sabrina
Sawa sawa kabisa
Janeflora malisa
Kwel kbs
Asia Abdy
Sahihi kabsaa
Neema
Kweliii kabisa
warda
Ila Barca wanapotea sana
Latifa juma mohamed
Hakika ni kweli.
David Pere
Lawama jana sikwa kocha wachezaj wa Barcelona wamechez chn ya kiwango jana ndo maana wamepoteza mchezo ule jana kocha na benchi lake la ufundi wanapaswa kupew muda kuzid kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza jana iliyasiwez kujirudia michezo ijayo