Jadon Sancho anatarajia kurudi mazoezini wiki hii hali ya kuwa kuna mazungumzo mapya ya uwezekano wa kuondoka kwenda Manchester United.
Nyota huyo wa Uingereza amekuwa akihusishwa na kuhamia na Mashetani wekundu licha ya makamu mwenyekiti Ed Woodward alishatoa onyo kuhusu uhamisho huo kutokana na kuyumba kiuchumi kutokana na madhara ya virusi vya Corona.
United walifunga msimu siku ya Jumapili kwa kulinda nafasi ya tatu katika Premier League na kurejea katika Champions League kwa msimu ujao kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Leicester City.
Kutokana na kupewa nguvu ya kiuchumi kwa kuendelea kuwepo kwenye mashindano makubwa ya Ulaya, na malengo yao ya usajili sasa wameshawishika kufanya usajili na Man United wanatarajia kumnasa kiungo wa Dortimund kwa wiki zinazokuja.
Kwa sasa kiongozi wa michezo katika klabu ya Dortimund Michael Zorc ameonesha dalili za Sancho kuendelea kusalia klabuni hapo baada ya kusema Sancho atakuwepo mazoezini siku ya Alhamisi.
“Tunatarajia Jadon Sancho kurudi mazoezini wiki hii siku ya Alhamisi,” aliiambia Kicker.
Dortimund wamesema wanataka dau lisilopungua €100m kwa uhamisho wa Sancho na United wanania ya kupunguza kiasi hicho cha fedha.
Mbadala wa kinda huyo wa zamani wa Manchester City imeripotiwa kuwa ni mchezaji wa Bayern Munich Kingsley Coman na Jonathan Ikone wa Lille.
Sancho alikuwa ni mmoja wa wachezaji waliyofanya vizuri kwa msimu wa Bundesliga 2019-20 akiwa ameweka kambani goli 17 na kutoa pasi za mabao 16 katika michezo 32 pekee
Na timu yake ya Dortimund imemaliza katika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa wa Bundesliga Bayern Munich kwa tofauti ya alama 13.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
devotha
Sancho ni mchezaji mzuri sana kama man u wangeweza kupata saini yake ingekua poa sana
Khadija
Safi sana sancho mazoez yawe mazuri#meridianbett
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa vizuri Sancho akiweka sain yake Man U
Neema juma
Arudi tu sancho
Isaya massawe
Habari njema kwa klabu yake
Fatina mfingi
Ni habar njema kwa clabu yake
Ernest
Kutokana na Man U wamefanikiwa kuingia kwenye top 4 hivyo Jadon Sancho lazima atatua Man U
Adelta
Habari njema kwa klabu yake
felister
Sancho alikua mmoja wa wachezaji wazuri katika msimu wa bundesliga
aisha
Safi sana sancho kila la kheri kwenye mazoezi yako
Magdalena
Sancho mchezaji makini
Ester jackson
Sancho aende tu man u
mwajumah
Arudi tu Sancho#Meridianbettz
Furahav
Sancho ni mchezaji mzuri sana.
Mwanahamisi
Sancho mchezaji mzuri
Zuhura omary kindamba
Bola aludi sancho mashabiki tupate kuona mambo mazuri
David Pere
Ningependa Sana Kama angejiunga na Man U maana Ndio timu ya kiwango chakee
sabrina
Sancho yuko vizuri
Tatu
Man wamsajili Sancho ni kiungo mzuri sana
Christa
Wamrudishe, ni mchezaji mzuri
Fatuma kasomo
Ni mchezaji mzuri
Hope mwaikuka
Habari njema hii
lombo
asante kwa habar moto moto
Saupha mohamed
Itakua vizuri sana kuludi
Genia Sikaluzwe
Habari njema kwa kilabu yake
Sadick
Tetesi za usajiri wa Jadon Sancho zimevuma muda mrefu mpaka Dortmund imesajiri mbadala wake , nasubiri kuona wapi ataelekea#meridianbettz
Theckla
Jambo zuri
Rose kapinga
Uamuz mzuri,Kila kher Sancho!!!
Shafii
Gud news
Povel
Sancho Kuna dalili zote kusalia ndan ya Dortmund
Amiri Kayera
Wanataka kiasi kikubwa Sana Dortmund
JULIANA
Asante kwataharifa
MnonganeJR
Fundi wa mpira soon anatua man utd
Samiah
Fundi huyo atatua man utd muda cmrefu
Latifa juma mohamed
Gud news.
Rehema
Asante kwa makala
tumaini
Maoni:nimchezaji mzuri sana
farida ahmadi
Habari njema Sana
caroline
dah izi ndo habari nazotaka kuzisikia
warda
Safi sana Dogo#Meridianbettz
Zeiyana
Gud update.
Omary lukumbi
Sancho alihitaj zaid timu atakayo tua iwe inatashiriki uefa champions league na kwa man United wamefanikiwa kwa hilo kwa hiyo kuna asilimia kubwa kutua United
sauda
Uamuzi mzuri sana
Salma ngende
Jambo zuri
Dorophina
Kila lakheri kwake mazoezi mema ila ingekuwa poa sancho angetia saini man u
Flomena
Dortimund wamesema wanataka dau lisilopungua €100m kwa uhamisho wa Sancho na United wanania ya kupunguza kiasi hicho cha fedha.
Gabriel
Habar njema
Saupha mohamed
Good news
Janeflora malisa
Habar njm
marry
good news
Asia Abdy
Safi sana
David Pere
Ningependa Sana Kama angejiunga na Man U maana Ndio timu ya kiwango chakee
Theonestina
Sancho arud tu maana tulimmic sana
Chiku
Sio mbaya