Ten Hag Apata Wasiwasi na Kiwango cha Kudus

Kocha wa Ajax Erik ten Hag hakufurahishwa kiwango cha Mohammed Kudus kwenye mchezo waliyokwenda sare ya 1-1 katika Ligi ya Uropa dhidi ya AS Roma lakini anaamini mshambuliaji huyo lazima apewe muda zaidi ili arudi kwenye ubora wake.

One-nil up, Lancers walimuingiza mchezaji wa kimataifa wa Ghana Edson Alvarez dakika ya 69 kumsaidia Davy Klaassen na Ryan Gravenberch katika safu ya kiungo.

“Hapana, pamoja na Kudus na Klaassen ningetarajia kupata muunganiko mbele katikati,” Ten Hag alielezea katika mkutano wa waandishi wa habari baada ya mechi.

“Lakini hiyo pia inahusiana na timu nzima Mara nyingi tumefanya vizuri zaidi.

Alianza kupata nafasi ya kucheza baada ya kuhama kutoka Nordjaelland ya Denmark msimu uliopita wa majira ya joto, Kudus aliumia meniscus kwenye mechi yake ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa ikicheza dhidi ya Liverpool mwezi Oktoba mwaka jana.

Ajax ilitangaza atakuwa kwenye matibabu “kwa miezi mingi” lakini kijana huyo wa miaka 20 alirudi mazoezini mwezi Desemba, na aliweza kucheza mechi ya ligi na PSV Eindhoven mwezi mmoja baadaye..

Mwezi uliopita, Kudus, alirudi kwa jukumu la kitaifa kwa mara ya kwanza tangu 2019, alifunga bao muhimu la Ghana kwenye sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Afrika Kusini katika mchujo wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2021.

Siku tatu baadaye, uwepo wake ulionekana tena wakati aliweka mabao mawili kusaidia Black Stars kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Sao Tome na Prince na kuisadia kufuzu Afcon.


JILIPE KWA NAMBA ZAKO ZA BAHATI NA KENO

Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.

CHEZA HAPA

5 Komentara

    Mshambuliaji ajafanya vizuri kwenye hii gemu

    Jibu

    Kweli kabisa

    Jibu

    Kweli kabisa

    Jibu

    Ten yupo sahihi kudus anahitaji muda wa kutosha kujiweka vizuri

    Jibu

    Habari poa sana

    Jibu

Acha ujumbe