Klabu ya Chelsea imekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa Thiago Silva kutoka Brazil kwa uhamisho huru akitokea klabu ya PSG siku chache zilizopita.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 amesaini dili ya mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele kinacho mruhusu kuongeza miezi 12 kuendelea kubaki Stamford Bridge.
Haya ni mambo manne huenda ukawa huyajui kuhusu Thiago Silva.
1.Soka lake lingeisha Mapema kutokana na maradhi.
Thiago Silva alihamia Ulaya mwaka 2004 na kujiunga na mabingwa wa Champions League kwa wakati huyo timu ya Porto.Mwaka mmoja baadaye alikwenda Dynamo Moscow lakini huko hakufanikiwa kucheza mchezo hata mmoja kwa klabu hiyo ya Urusi kutokana na kupata maumivu ya kifua na baadaye kugundilika kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu, alitumia miezi isiyopungua mitano kwaajili ya tiba na kulikuwa na uwezekano wa kuondoa sehemu ya pafu lake ili kurefusha muda wa ugonjwa, hii ilikuwa ikimaanisha soka lake lingefikia tamati zamani sana.
2.Ana mpango wa kufuata nyayo za Paolo Maldini muda wa kucheza soka.
Baada ya kupona maradhi yake akiwa Brazil Thiago alianza tena kujijenga upya, mwaka 2008-09 Silva alihamia AC Milan kabla ya mkongwe Paolo Maldini haja tundika daruga na aliweza kumwambia kwamba yeye ndiyo “role model” wake na ana hamu ya kufikia mafanikio kama yake mpaka atakapo fikisha miaka 40. “Nitafuta nyayo zake mpaka pale mwili utakapo kataa,” aliongea hivyo mwaka 2016.
3.Aliwahi kutukanwa na Joey Barton
Mwaka 2013 mchezaji wa Marseille Joey Barton aliyekuwa kwa mkopo katika klabu hiyo akitokea klabu ya QPR alionesha utovu wa nidhamu na baadaye kuomba radhi kwa kumuita Thiago Silva “mvulana mrembo kibonge” ishu iliyo leta mjadala mkubwa katika mtandao wa Twitter.
4.Hakuwepo kwenye mchezo Brazil ilipo pokea kichapo cha 7-1 kutoka timu ya Ujerumani.
Thiago Silva alifunga goli dhidi ya Colombia katika hatua ya robo fainali ya kombe la dunia mwaka 2014 lakini baadaye alipata adhabu ya kutocheza hii ina maanisha hakuwepo kwenye mchezo ambao Brazili ilikula chuma 7-1 wakiwa mikononi mwa Wajerumani.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
Ester jackson
Asante kwa nakala bombs kabisa pia tunamkaribisha chamani Chelsea Thiago Silva.
Povel
Thnks meridian bet tz wazee wa option mwele lele za kubet na vle vle nawapa big up kwa kutupa habar za Moto ambazo hatuzifahamu thnks meridian bet tz
Samiah
Asanteee kwa taarifa
Devotha
Asanteni kwa kutujuza
Theckla
Asanten meridian kwa kutujuza Yale tusioyajua
Fatuma kasomo
Gud news
Theonestina
Habari njema
warda
Hapa chelsea wamepata sana#Meridianbettz
Sauda
Safi sana
Ernest
Thiago adi sasa ni Legendary
Johnmary joel
Chelsea Msimu huu wamejipanga vizuri karibu thiago#meridianbett
Adelta
Good @meridianbettz
Mwajumah
Safi sana chelsea msimu huu mmejipanga vizuri#Meridianbettz
Mwanahamisi
Safi sana
Fatina mfingi
Nice
felister
apo Chelsea wamepata jembe
Tatu
Safi sana thiago silva tunategemea mabadiliko huko chelsea
magdalena
thiago anajielewa sana na mpira anajua kuucheza ipasavyo
Lydia Emmanuel Magoti
Kila lakheri Thiago Silva kuerekea kwenye krabu mpya ya Chelsea kiungo unae jituma
Sadick
Amenikumbusha hayati Michael Jackson jinsi alivyoweka malengo ya kuishi miaka 150 sina kama akijitunza atacheza mpaka kufikisha miaka 40#meridianbettz
Salma ngende
Asante meridian kwa makala hii
Rose kapinga
Thiago mtu hatariii!!!
aisha
Thiago bengo la beki hatari
Omary lukumbi
Thiago beki hatar
Janeflora malisa
Nice
Furahav
Beki kisiki sana.
Shan
Ile mechi pengo la thigo lilionekana.
Agness
Yuko vizuri bonge la mchezaji
Khadija
thiago namkubali sana
rama
mchezaji mzuri wame msajiri chelsea
Issa
Thiago waonyeshe maajabu wazee wa darajan uwezo wako unaonekana
Amiri Kayera
Kwa nafax yake ya beki atachez mda mlef
Hope mwaikuka
Axante nlkua cjui haya
Sabrina
Nampenda sana Thiago Silva anajituma sana
Rehema
Asante kwa taarifa
jullie
gusd newa meridianbet
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Rehema Dickson
Asante kwa habari na makala nzuri#meridianbet
farida ahmadi
Thiago ni mchezaji mzuri Sana
Shafii
Thiago amekuja kujenga safu ya ulinzi wa Chelsea kwa uzoefu wake aliokua nao.
Samira
Thiago bado yupo vizuri
Saupha mohamed
Good news
Dorophina
Asante kwa taarifa Meridian bet
Caroline
Dahh kumbe alishaumwa TB pole yake
Zeiyana
Kwa kuangalia histor yake sijui kama Chelsea wataweza kudumu naye ukiangalia uwezo wake thiago ushashuka sasa hivi ni bola wangeangalja upande mwengine tu
David Pere
Thiago waonyeshe maajabu wazee wa darajan uwezo wako unaonekana
Nasra
Waonyeshe watu waajabu
Faraja molell
Asante kwa taarifa
Neema
Safi sana
Gabriel
Imekaa poa sana 👍