NyumbaniChampionship

Championship

HABARI ZAIDI

QPR Yashindwa Kurejea Kileleni Kwenye Msimamo.

0
Timu ya QPR imeshindwa kuongoza ligi daraja la kwanza hapo jana baada ya  ilikosa nafasi ya kurejea kileleni kwenye msimamo baada ya kutandikwa mabao...

Pan African Kuivaa Gwambina kesho

0
Kikosi cha Pan African kinatarajia kushuka dimbani kesho jumamosi kumenyana na Gwambina kwenye mchezo wa ligi ya Championship. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa...

Carrick Kocha Mkuu Middlesbrough.

0
Kiungo wa zamani na aliewahi kua kocha wa muda wa Man United Michael Carrick amechaguliwa kua kocha wa klabu ya Middlesbrough inayoshiriki ligi daraja...

Michael Beale Akubali Kuinoa Wolves

0
Kocha wa klabu ya Queens Park Rangers Michael Beale amekubali kuinoa klabu ya Wolverhampton Wanderers baada ya kufikiana makubalino ya pande zote. Wolverhampton Wanderers baada...

Serengeti Girls, Yatoboa Robo Fainali ya World Cup U17 2022

0
Serengeti Girls Timu ya Taifa wa wanawake umri chini ya miaka 17 (U-17) katika Fainali za kombe la Dunia la FIFA 2022 zinazoendelea kufanyika nchini...

Sadio Mane Atabaki Kwenye Kumbu Kumbu za Watu Ballon d’Or

0
Sadio Mane Mshambuliaji wa Bayern Munich usiku wa jana ameshika nafasi ya pili katika tuzo za mwaka huu za Ballon d'Or, nyuma ya Kareem...

Nottingham Wafukuza Wawili.

0
Nottingham Forest imewafuta kazi wafanyikazi wawili ambao walihusika sana katika usajili wa msimu wa joto ambao ulishuhudia wachezaji 22 wakijiunga na klabu, huku wakiwa...

Miura: Avunja Rekodi Yake Mwenyewe Kama Mchezaji Mkubwa Zaidi Duniani.

0
Kazuyoshi Miura ameandika upya rekodi yake kama mwanasoka mkongwe zaidi kwa kucheza soka akiwa na umri wa miaka 55 na siku 225. Mchezaji huyo wa...

Pan Yaipania Mashujaa

0
UONGOZI wa klabu ya Pan African umefunguka kuwa mipango yao ni kupata matokeo kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mashujaa. Timu hizo zinakutana zikiwa...

Pamba Yamnasa Kocha wa Kimataifa

0
Baada ya kumtambulisha George Semwogerere kuwa kocha mkuu, Uongozi wa Pamba umesema kuwa una matarajio makubwa na Kocha huyo katika mashindano ya Championship ili...