Kocha mpya wa klabu ya Simba Fadlu Davids inaelezwa hajaridhishwa na mwenendo wa wachezaji wanne wa kigeni ndnai ya trimu hiyo kuelekea msimu ujao wa 2024/25. Fadlu Davids ambaye yupo …
Makala nyingine
Aliyekua beki kisiki wa klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels raia wa kimataifa wa Ujerumani inasemekana anawindwa kwa karibu na klabu ya Bologna ya nchini Italia. Bologna wanaelezwa kumshawishibeki Hummels …
Klabu ya Juventus inaelezwa inamuhitaji beki wa klabu ya OGC Nice Jean Clair Todibo kwa mkopo ambao una kipengele cha kumnunua kuelekea msimu ujao. Juventus wamekua wakimfukuzia Todibo kwa takribani …
Beki wa kati wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Harry Maguire ameweka wazi kua bado yupo sana ndani ya klabu hiyo licha ya tetesi mbalimbali zinazoendelea. …
Klabu ya West Ham ipo kwenye mchakato wa kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa Jhon Duran kwajili kukiboresha kikosi chao kuelekea msimu wa 2024/25. West Ham imepanga kuboresha ofa …
Klabu ya Simba imerejea kwenye mbio za kumuwania winga wa klabu ya As Vita kutoka nchini Congo Elia Mpanzu ambaye amekua akifukuziwa kwa muda mrefu na klabu hiyo. Simba imefanikiwa …
Klabu ya Inter Milan ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Manchester United kwajili ya kuangalia uwezekano wa kubadilishana wachezaji ambao ni Denzel Dumfries na Aaron Wan Bissaka. Klabu ya Mnachester …
Klabu ya Juventus bado imeshikilia msimamo wake wa kutaka kumuuza winga wake matata ndani ya klabu hiyo raia wa kimataifa wa Italia Federico Chiesa. Kocha wa klabu ya Juventus Thiago …
Beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Ferlan Mendy inaelezwa bado yupo yupo sana ndani ya viunga vya Santiago Bernabeu. Beki Ferlan Mendy anatarajiwa …
Inter wanaripotiwa kufuatilia ukuzaji wa beki wa kati mwenye umri wa miaka 19 Nathan Zezé wa Nantes ya Ligue 1 kama mbadala wa beki mahiri wa Arsenal Jakub Kiwior. The …
Baada ya kupokea mapendekezo kutoka kwa timu ya EPL AFC Bournemouth na klabu ya Bundesliga VfB Stuttgart, bei iliyosasishwa ya Juventus ya kutaka kumnunua mlinzi Dean Huijsen imefichuliwa. Kwa mujibu …
Ripoti za hivi majuzi zinaonyesha kuwa Roma wanaweza kuingilia kati makubaliano ya Atletico Madrid na Girona kwa mshambuliaji Artem Dovbyk, ingawa Giallorossi wanakabiliwa na vita kubwa katika kusitisha mpango huo. …
Beki wa OGC Nice Jean-Clair Todibo ameweka wazi kuwa hana nia ya kusaini West Ham msimu huu wa joto huku akishinikiza kuhamia Juventus. The Bianconeri wamemtambua Mfaransa huyo mwenye umri …
Napoli waliwasiliana na Chelsea tena jana ili kujadili uwezekano unaomhusu mshambuliaji wa zamani wa Roma na Inter, Romelu Lukaku, ambaye alikubali makubaliano binafsi na Partenopei wiki iliyopita. Kulingana na ripoti …
Joaquin Correa hana mustakabali ndani ya Inter na maajenti wake wamekuwa wakifanya kazi ya kumrejesha katika klabu yake ya zamani ya Lazio. Mshambuliaji huyo wa Argentina alitatizika kupata nafasi ya …
Newcastle United wametoa ofa kwa Malick Thiaw lakini watahitaji kuongeza takwimu iwapo wanataka kukubaliana na Milan. The Magpies wamekuwa wakihusishwa pakubwa na beki huyo wa kati wa Ujerumani mwenye umri …
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzinduzi wa Simba Day 2024 utafanyika Morogoro na safari inatarajiwa kuwa Julai 24 2024 kwa mashabiki na viongozi kuelekea mji kasoro bahari. Ahmed Ally …