Sare ya 0-0 ya Atalanta dhidi ya Cagliari jana ilimletea kocha mkuu Gian Piero Gasperini pointi zake 600 za Serie A akiwa kiongozi wa klabu, jambo linalomfanya kuwa katika nafasi …
Makala nyingine
Mike Maignan anakiri kwamba makosa yake ya hivi karibuni ni muda ambao unaweza kutokea katika kazi ya mchezaji, lakini lazima ashike mtindo wa kuwa na matumaini kuelekea mechi ya mwisho …
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuicharaza klabu ya Leicester City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King Power kwa jumla ya mabao mawili kwa bila baada ya mchezo kuonekana kua mgumu …
KLABU ya KMC imepoteza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 wamepoteza kwa kushuhudia ubao ukisoma KMC …
ALI Kamwe ambaye Ofisa Habari wa Yanga amepelekwa Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, (TFF) na Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Masanzala. Taarifa iliyotolewa …
CLATOUS Chama ndani ya kikosi cha Yanga yupo kwenye mtihani wa kupambania namba kikosi cha kwanza kwa kuwa kwa sasa hajawa chaguo la kwanza msimu wa 2024/25 baada ya kuibuka …
MKALI wa pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika balaa lake sio jepesi akiwa uwanjani kutokana na kasi anayoendelea nayo …
KATIKA mabao 38 ambayo safu ya ushambuliaji ya Simba imefunga kinara wa utupiaji ni Leonel Ateba ambaye katupia mabao 8 msimu wa 2024/25. Ni mabao manne amefunga kwa penalti ikiwa …
Mshindi wa Kombe la Dunia la Italia 2006, Luca Toni anahisi Victor Osimhen hatafaa mtindo wa uchezaji wa Thiago Motta: ‘Sina uhakika kama ingeleta mabadiliko makubwa.’ Mchezaji huyo wa kimataifa …
Na mechi nyingine ya jioni kabisa ni hii ya Azam FC vs KMC mchezo ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Azam Complex. KMC mpaka sasa chini …
Pale Mbeya leo hii kutakuwa na mtanange wa maana kabisa ambapo Tanzania Prisons watakuwa wenyeji wa Mashujaa ya Kigoma ambapo mchezo huo utapigwa pale Sokoine. Tanzania Prisons wapo kwenye hali …
Mechi nyingine kali ya kutazama ni hii ya Simba SC ambaye atauwa ugenini kukipiga dhidi ya Fountain Gate ambao wapo nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi. Tofauti ya pointi …
Ligi kuu ya NBC inatarajiwa kuendelea leo hii kwa michezo minne ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa Dodoma Jiji vs Pamba Jiji ambapo utapigwa katika dimba la Jamhuri …
Randal Kolo Muani ameonesha athari mara moja ndani ya Juventus na vyanzo vya Italia vinadai kuwa Bianconeri tayari wanazingatia kumuweka mshambuliaji huyu wa Ufaransa Turin zaidi ya msimu wa kiangazi. …
Joao Felix amejiunga na Milan kwa mkopo kutoka Chelsea siku ya mwisho, lakini Rossoneri hawana chaguo kufanya uhamisho wake kuwa wa kudumu. AC Milan iliwakaribisha wachezaji wanne wapya katika siku …
Milan imemkabidhi rasmi kiungo Ismael Bennacer kwa Olympique Marseille kwa mkopo na chaguo la kumnunua mwishoni mwa msimu huu. Kulingana na ripoti mbalimbali, makubaliano hayo ni ya ada ya mkopo …
Fiorentina imetangaza rasmi kusajili mchezaji wa kimataifa wa Italia, Nicolo Fagioli kutoka Juventus, ambaye anajiunga na Viola kwa mkataba wa mkopo wa awali na sharti la kulazimika kununua. Kwa mujibu …