Hakuna Tuzo za Ballon d'Or 2020.

Hakuna tuzo za Ballon d’Or mwaka 2020 kutokana na “upungufu wa hali ya kiusawa,” France Football imetangaza hivyo.

Chapisho la Ufaransa, ambalo inaunganisha tuzo za kifahari kwa mpira wa miguu inaamii kwambaΒ  athari za virusi vya Corona katika nyanja ya michezo inaonesha kwamba kutakuwa hakuna usawa katika kutoa tuzo hizo mwaka 2020.

Katika listi ya sababu zilizochapishwa zimeelezea maamuzi hayo, France Football imesema “Haikutaka kuweka alama” kwenye tuzo kutokana na kuwepo kwa sababu zilizo jitokeza, iliongeza kwa kusema “mara zote tuta husika katika maumivu kidogo katika historia yetu mpaka kovu kubwa.”

Itakuwa ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa Ballon d’Or mwaka 1956 kwamba mfumo wa upigaji kura kwa siri kuamua mchezaji anaye stahili hazitafanyika mwaka huu.

Nyota wa Barcelona Lionel Messi ndiyo mwenye rekodi ya kuchukua mara nyingi zaidi tuzo hiyo (mara sita) mwaka jana huku kwa upande wa wanawake ikichukuliwa na mshambuliaji wa marekani Megan Rapinoe.

Mwezi machi michezo ilisimama ulimwenguni kote baada ya maambukizi ya COVID-19 kusambaa kwa haraka.

Ingawa Premier League,LaLiga, Serie A na Bundesliga ziliendelea mwezi Juni na kuchezwa bila mashabiki wakati Ligue 1 ilikuwa ni moja ya ligi zilizo katisha ratiba yake kabla ya kufika mwisho.

 


 

Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako yaΒ MeridianbetΒ unapata 5% bonasi.

Soma Zaidi

44 Komentara

    Habari mbaya kwa wapenzi wa football dah team mess na team ronald tutazikosa 2020

    Jibu

    Hii si habari nzuri kwa wapenda soka

    Jibu

    Duh sio pw

    Jibu

    Nihabari zakuckitisha

    Jibu

    Duuuh sio vizuri

    Jibu

    Daaah kwa nini

    Jibu

    Duh! Watu tulikua tunataka kushuhudia kwa Mara nyingine akikabiziwa mfalme wa soka messi.

    Jibu

    duuh! hii ni habari mbaya sana

    Jibu

    Hii yote sababu ya corona

    Jibu

    Duuuh! Habar mbaya kwa waliohitabgazia mapemaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

    Jibu

    Ni taarifa mbaya kwa mashabiki

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Hii mijitu hii inafanya vitu vya kukera waz waz sasa hapa ufea uko wapi? Kweli tuzo ya ronaldo na messi hii

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    Habari ya kusikitisha sana hii kwa mashabiki wa soka

    Jibu

    Hii ni habari mbaya kwa mashabiki wa soka

    Jibu

    Tumuache messi hashike shike histolia yake kidogo banaa wactoe tu corona cndio mchawi banaa

    Jibu

    Duuu watu wamekosa tuzo waliostahili

    Jibu

    Daa!! Habari mbaya kwa wapenzi wa soka#meridianbettz

    Jibu

    Hii sio habar mzr kwa wapenda football

    Jibu

    Hii sio habar njema kwenye soka

    Jibu

    Vorona imetunyoma uhondo

    Jibu

    mhhh hali ya kiusawa kivp

    Jibu

    Habari mbaya sana kwa sisi mashabiki mana corona inafanya watu tushindwe kupiga kura ya ballon d,or

    Jibu

    Hii ni habali mbaya

    Jibu

    Habari hizi si za kuleta faraja

    Jibu

    Tunzo kama tunzo ni pongezi kwa wachezaji ambao walio fanya vizuri so hitakuaje kama hizo tunzo zitakua azitolewi

    Jibu

    Sa itakuwaje kwa mzee cr7 na bwana mess maana ndio wanaoshindanishwa kila siku

    Jibu

    Doooo so sad

    Jibu

    Jamani πŸ€”πŸ€”

    Jibu

    bad news

    Jibu

    Hii sio habari nzuri kwa wa penda soka

    Jibu

    Corona imevuruga mambo

    Jibu

    messi messi messi kwa vile hana mafanikio na timu yake wameamua kufuta kumbe ulaya napo kuna urasimu kama bongo tu

    Jibu

    Dah! mambo yamekuwa magumu kila upande

    Jibu

    Acha Messi aendelee kubaki nayo kwa muda kwanza

    Jibu

    Daah majanga

    Jibu

    Duuh!! hii corona imeharibu vitu vingi sana havijaenda sawa

    Jibu

    Aisee hii taarifa sio poa kabisa

    Jibu

    Ebwanaeeh hii mbaya sana

    Jibu

    Duuuh majanga

    Jibu

    Hii si habari nzuri kwa wapenda soka#meridianbettz

    Jibu

    Hii ni habari mbaya

    Jibu

    Duuu hii habara sio nzuri hata kidogoπŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

    Jibu

Acha ujumbe