Aston Villa kuendelea na vita ya kufa na kupona kupigania kubaki Ligi Kuu wakati wanapowakaribisha Gunners huko Villa Park saa 04:15 usiku
Villa wako nyuma alama tatu kutoka kwenye eneo salama la kubaki Ligi Kuu, wakiwa na michezo miwili iliyobaki, kwa hivyo kikosi cha Dean Smith kinahitaji kupigania ushindi tu dhidi ya Arsenal Jumanne hii na Westham Jumapili ili kujihakikishia walau nafasi ya kubaki EPL.
Kwa upande wa Arsenal, kikosi cha Mikel Arteta kimekuwa na wiki babu kubwa, baaada ya kupoteza kwenye London derby dhidi ya Spurs – Gunner walijipanga upya na kuwapiga mabingwa Liverpool na kisha kutinga Fainali ya Kombe la FA Cup kwa kuishangaza Manchester City ya Pep.
Matumaini ya Arsenal kufuzu katika Ligi ya Europa msimu ujao ni madogo, lakini Arteta atataka kujiimarisha kwa kuendeleaza fomu bora ya ushindi ili kubeba Kombe la FA na kumshawishi mmiliki Stan Kroenke kutoa mkwanja wa kutosha ili azame katika soko la usajili la msimu wa joto.
H2H: Aston Villa vs Arsenal
Arsenal wametawala sana katika mechi za Ligi dhidi ya Villa, wameibuka na ushindi mara 27 katika michezo 49 waliyokutana na Aston Villa, sare michezo 14 na kupoteza mara 8 tu.
Gunners wameshinda mechi 5 mfululizo zilizopta dhidi ya Villa, ikiwa ni pamoja na mchezo wao wa mwisho walipokutana, wakifanya comeback na kushinda 3-2 Emirates mwezi Septemba.
Odds za ushindi ndani ya Meridianbet:
Villa Kushinda: 3.40
Arsenal Kushinda: 1.95
Sare: 3.50
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
sabrina
Aston villa wanatakiwa wa jikaze
Issa
Aston villa kaza buti ubakie epl
Theckla
Leo hapatoshi
Hope mwaikuka
Kaz kazin
Zeiyana
Astoni Vila wana wachezaji wazuri sana ila wanaubaguzi sana na ukiangalia timu wanayo cheza nayo ni timu hambayo inafukia makosa yao ya nyuma so kama hatafanya makosa yao yale yale watapigwa nyingi sana
Ernest
Arsenal ushindi lazima hapa
Amiri Kayera
Arsenal ingewaonea huluma
Neema juma
Aston villa nguvu ya ziada inahitajika kwa kweli
Janeflora malisa
Arsenal jesh
Povel tz
Aston villa jeshiiiii
lombo
sammata….wanatakiwa wajitahid
Samiah
Aston villa jeshii
Gabriel
Wanyakyusa tunasema mbombo ngafu nadhan tumeshaelewa na inabid Aston villa wajipange sana kiukwel kwan Aston Villa italazimika kushinda mechi zake zote mbili za mwisho dhidi ya Arsenal na West Ham iwapo inataka kusalia katika ligi ya Premia , kulingana na kocha Dean Smith.
Villa ilinyimwa ushindi mzuri wa ugenini wakati mchezaji wa ziada wa Everton Theo Walcott alipofunga bao la dakika 87 ili kusawazisha bao la Ezri Konsa.
Kikosi cha Smith kina pointi tatu chini ya nafasi bora ya kusalia katika ligi , na mechi moja ya nyumbani dhidi ya Arsenal Jumanne ijayo na baadaye kucheza mechi yao ya mwisho ugenini dhidi ya West ham tarehe 26 mwezi Julai .
Na kwa upande wa Arteta wazee wa mizinga wamuukize kijogoo kilivyofanywa Arsenal Emirates jeshi la mizinga
Saupha mohamed
Leo apatoshiii
tumaini
Maoni: Daaa nawaonea huruma ila mpira dakika 90
Shafii
Aston villa safari ishawadia.
Christopher
Vilaa hakuna wanachotafuta now maana kwa muonekano tu wameshashuka, wajipange msimu ujao
Sylvester
Mimi leo karata yangu naitupa kwa Aston Bill kwani watapigana ipasavyo ili kubaki ligi kuu na Arsenal watakua wamebweteka na ushindi walioupata mfululizo huku wakidhani Aston Villa timu ambayo inatakiwa kushuka daraja watalegeza kwenye michezo huo.Samata Kama atatupia leo
Asia Abdy
Naiombea isishuke daraja
Ester jackson
Mechi ngumu sana kwa Aston villa Ila kama watakuwa katika kujiamini wanaweza kumfunga arsenal kiurahisi tu .tumeona mechi za arsenal alizo shinda mfululizo ni kwa sababu kocha wao aliangalia makosa yako wapi na hasaivi wako vizuri wanashinda hata timu ambayo inashika nafasi ya pili inafugwa na arsenal mm ninaamini kuwa Aston villa wanaweza kufanya mabadiliko kama watakuwa wamejipanga vizuri na kila mchezaji akacheza katika nafasi yake wanashinda kirahisi tu lakini wasipo kuwa makini watapigwa tena nyingi tu.&&meridianbettz
neema hassan
Mtanange wa kukata na shoka..
Njiku
Aston villas anatakiwa ajikaze kwa kufa na kupona ili ajikwamue kwenye ili aendelee kubaki EPL
Franky
Tisha sana meridianbet
Aziza mushi
Astn villa ushindi lazma.
Omary lukumbi
Aston villa win
Rehema
Arsenal ushind ni lazima arsenal Sasa ivi iko vizur sana
Frank Patrick
Arsenal the fake robin hood
Khadija
Aston villa jeshi#meridianbettz
Angelina
Ilikuwa mechi kali
Adelta
Aston villa win
Mwanahamisi
Leo hapatoshi
Magdalena
Aston Villa walijua kuucheza mpira walijua kutetea nafasi vizur
Johnmary joel
Dakika 90 zitaamua mshindi nan#meridianbett
caroline
Aston villa wapo nyuma sana
Fatina mfingi
Mmmh hatar
Mariam mtandama
Leo ngoma ngumu kwakweli
Tatu
Samatta lazma afanyevyake
Dorophina
Aston villa inatakiwa apambane asishuke daraja
felister
arsenal tunafel wapi jamani 😭😭😭
aisha
Aston villa fanyeni yenu
Samira
Aston villa jana wamecheza kwa umahili mkubwa sana
Zuhura omary kindamba
Ilikua bonge la mechi
David Pere
Uchambuzi ulikuwa mzuri Sana na kilichambuliwa Ndio kilchotokeaa
devotha
mechi ilikua nzuri sana
Saupha mohamed
Ilikua atalii sana jana
farida ahmadi
Mechi itakuwa kalii Sana hii namngoja samata nione maujuzi yake
Genia Sikaluzwe
Mpira dakika90 tutapata matokeo
mwakalosi
kimoja tu cha nguruwe kimemtosha arsenal na timu mzima wameangaika nayo
mwajumah
Aston villa fanyen yenu#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Ulikuwa mtanange watari
Furahav
Hii hatari sana.