Ansesio Alizipiga Chini Tottenham na AC Milan

Vilabu vya Tottenham na AC Milan vilikuwa vikitafuta mchezaji kutoka Real Madrid kwaajili ya kuvipa nguvu vikosi vyao kuelekea msimu mpya wa 2021-22.

Ansesio Alizipiga Chini Tottenham na AC Milan

Waitalia walimuongeza muda wa kukaa Milan kwa mkopo Brahim Diaz lakini pande zote zilionyesha kuvutiwa sana na Marco Ansesio.

Klabu hiyo ya Uhispania iliamua kumbakisha mchezaji huyo na kumuhakikishia nafasi katika kikiosi cha kwanza baada ya kukaa nje muda mrefu sababu ya majeraha.

Ansesio yupo katika msimu wake wa sita na Los Blancos na anatazamia kurejea katika kiwango chake cha kiutendajialichoonyesha miaka miwili iliyopita kabla ya kuapata majeraha.

Kuna ushindani mkubwa katika eneo la ushambuliaji ndani ya Real Madrid kwa wachezaji Karim Benzema, Gareth Bale, Eden Hazard na Vinicius  Junior wote wanaonekana kuchaguliwa na Carlo Ancelotti.

Ansesio atapelekwa eneo la katikati ya dimba ambako timu hiyo haina machaguo mengi.

Ilikuwa hatua ya ujasiri kwa Asensio kukataa ukusajiliwa msimu huu wa joto, haswa ile ya Tottenham, ambayo ilikuwa na hamu ya kumfanya kuwa moja ya chaguzi kuu za ushambuliaji, lakini ana hakika nafasi yake itakuja Real Madrid.


USHINDI KIGANJANI KWAKO!

Meridianbet inakuletea ushindi kwenye kiganjani kwako, unafurahia radha halisi ya burudani ya kasino mtandaoni na tabasamu la ushindi.

Meridianbet Online Casino

INGIA MCHEZONI HAPA

Acha ujumbe