Arsenal wamepata ushindi wao wa kwanza ugenini dhidi ya timu tatu bora za Ligi Kuu baada ya miaka sita wakati walipoifunga Leicester 3-1 siku ya Jumapili.
Washika bunduki walikuwa nyuma ndani ya dakika sita tu kwenye mechi na The Foxes wakati Youri Tielemans alipiga shuti la chini na kumpita Bernd Leno, lakini timu ya Mikel Arteta ilipambana baadaye wakati kipindi cha kwanza baada mpira wa adhabu uliopigwa na Willian ulikutana na kichwa cha David Luiz na kumfunga Schmeichel, kabla ya Alexandre Lacazette kufunga kwa nkwaju wa penati .
Nicolas Pepe kisha alimaliza kufunga katika kipindi cha pili wakati Arsenal walirekodi ushindi wao wa pili katika mechi sita za Ligi Kuu.
Mara ya mwisho kufanya hivyo ilikuwa Januari 2015 walipoifunga Manchester City 2-0, wakati Olivier Giroud na Santi Cazorla walipofunga kubeba alama tatu kwa timu ya Arsene Wenger.
Willian na David Luiz waliweza kushirikiana kwenye kufunga bao la Gunners kwa mara ya kwanza, lakini wawili hao waliweza kufanya hivyo kushirikiana kutikisa nyavu kwenye Ligi ya Premia wakati walipokuwa Chelsea.
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.
Venerose
Arsenal kwa sasa wako vinzur
warda
Arsenal wanajitahidi sana kwa kweli
Neema juma
Arsenal wamejitoshelezaa saiviiii
Angelina
Safi Arsenal
Rahma
Mko vizuri Arsenal
Adelta
Arsenal kwa sasa wako vizuri Sana 👍
Sarah
Pongezi kwao Arsenal
Hopemwaikuka
Wametishaa