klabu ya Premier League, Manchester City imethibitisha kuondoka kwa Claudio Bravo baada ya kumaliza mkataba na klabu hiyo.
Mlinda mlango huyo mwenye umri wa miaka 37 alijiunga na Manchester City akitokea Barcelona mwaka 2016 baada ya kukaa miaka miwili na Blaugrana.
Bravo alitua City muda mfupi baada ya Pep Guardiola kuajiliwa na mabingwa hao wa Uingereza na kupandikiza Falsafa za kikatalani za kupiga mpira mwingi.
Guardiola alimpa nafasi kubwa Bravo kutokana na kupendelea ujuzi wa kipa huyo kwa kuwa na uwezo wa kucheza pasi hivyo basi kuwa chaguo namba moja la Guardiola na alikuwa akisaidiana na Joe Hart ambaye alicheza michezo 30 katika mashindano yote.
Kiwango cha Bravo kilikuwa thabiti na amemaliza muda wake katika klabu ya City akisaidiana na Ederson aliyesajiliwa kutokea timu ya Benifica mwaka 2017.
Bravo ameondoka City akiwa amefanikiwa kushinda makombe mawili ya Premier League na EFL Cup mbili.
Wakati ikiwa haijulikani wapi ataelekea, Bravo amekuwa akihusishwa mara kwa mara na kujiunga na Celtic na Real Betis, ambayo itakuwa inafundishwa na mwalimu wa zamani wa Manchester City kocha Manuel Pellegrini msimu ujao.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
Lydia Emmanuel Magoti
Nivizuri kubadilisha upepo kambi kokote
magdalena
Bravo sasa anaweza akachukuliwa club yoyote maana yupo huru
Dorophina
Bravo Ni kipa bora wamemkosa man city
Sauda
Kila la kheri Bravo
felister
kila la kheri uendapo
Caroline
Safari njema
Tatu
Popote kambi
Sabrina
Claudio Bravo aliitumikia vyema man city namtakia kila la kheri huko aendako
Zeiyana
Mambo mengi sana hameifanya clabu ya man city hadi kufikia nusu fainali kila la goli kipa makini sana bravo
Nasra
Yuko vzuri kila la kheri aendapo
Ester jackson
Kila la heri bravo ni muda sasa wakufanya juhudi ili uwe kipa bora mana bado mambo magumu kwako hata kama umejitahidi kuingia nusu fainali
Ernest
Bravo ameonekana kushuka sana kiwango
Furahav
Nenda kapambane sehemu nyingine.
Shafii
Duh sikujua kwamba bravo yuko man city anahaki ya kusepa.
Theonestina
Safari njema kwake
Issa
Safi kutafuta chaka lingine
Povel
Duh kila la kheri BRAVO unaondoka CITY bado inakudai TAJi la UEFA Ila kila la kheri BRAVO bye bye๐งค๐งค๐งค
JULIANA
Kapambane
Gabriel
Bravo japo umri umeenda ila yuko vzur sana
Hope mwaikuka
Kila la heri
Sylvester
Amekaa Sana benchi Ni vizuri atafute sehemu nyingine ambayo atakua anaweza kucheza Kama namba moja
jullie
Kila lakheri
Janeflora malisa
Kwaher
Samiah
Safi
Latifa juma mohamed
I we kheri huko aendako.
Mwanahamisi
Kila la kheri bravo
aisha
Nenda kaka kila la kheri maisha popote
Khadija
kila la kheri bravo uko uendako
Mwajumah
Kila la kheri bravo
Adelta
Nenda tu kaka maisha popote
@meridianbet
Fatina mfingi
Kikubwa riziki
David Pere
Bravo ameonekana kushuka sana kiwango
Fatuma kasomo
Safi maisha popote
Sadick
Chelsea inahitaji Golikipa kama huyu kuchukua nafasi ya Kepa Arrizabaraga anayevujisha magoli langoni#meridianbettz
Saupha mohamed
Safari njema
Omary lukumbi
Bora aende zake atapata namba langoni
Devotha
Kila la kheri Bravo huko uwendako
farida ahmadi
Kambi popote pale bravo
Amiri Kayera
Ni kipa mzur
warda
Acha Abadili Upepo tu