Eric Dier amesaini kandarasi mpya kuendelea kubaki katika klabu ya Tottenham mpaka mwaka 2024.
Mchezaji huyo wa England alikuwa amebakisha si zaidi ya mwaka mmoja katika mkataba wake uliyopita na ataendelea kucheza katika ligi ya Premier League.
Dier alijiunga naTottenham akitokea akitokea Sporting Lisbon mwaka 2014 na tayari amecheza michezo 239 akiwa na upande huo wa London Kaskazini na kufunga magoli 11.
Dier mwenye umri wa miaka 26 ataendelea kukipiga mpaka mchezo wa mwisho wa ligi dhidi ya Crystal Palace siku ya Jumapili baada ya kufanya vizuri katika michezo minne iliyopita na kujikita kwenye nafasi za juu.
Dier aliifungia timu yake ya taifa la Uingereza goli kwa mkwaju wa penati katika mashindano ya kombe la Dunia dhidi ya Colombia na kuiokoa kuingia robo fainali na mashindano hayo yalifanyika nchini Urusi mwaka 2018.
Dier ameumbia ukurasa wa klabu wa tweeter: “Ninafuraha sana kuendelea kubaki hapa na ninaahidi kufanya bidii zaidi katika hii safari.”
“Inafurahisha kufikirira kwamaba nilikuwa hapa miaka sita iliyopita. nimefurahia sana, ilikuwa safi sana kufanya kazi chini ya makocha tofauti. najiona mwenye bahati kuwa katika klabu hii ni sehemu sahihi kabisa kuwepo.
“Timu imenipa vitu vingi sana, tulikuwa na wakati mzuri kwa pamoja na kuna vitu vingi inavyo takiwa kuvifanikisha kabla hatuja fika mwisho.”
“Mlaengo yangu na uongozi ni kushinda mataji kipindi wakati ukifika, na ninataka mpaka naondoka niwe nimefanya yote.”
Kocha wa Spurs Jose Mourinho ameongea kuhusu tumaini alilonalo kwa Dier, ambaye alirudi kucheza kama kiuongo wa kati na ataendelea kusalia klabuni hapo.
Mourinho amesema: “Bosi wangu Mr Daniel Levy ameniambia anataka Eric kusaini mkataba mpya na Eric ameniambia amefurahi sana kupata ofa hiyo ya kuendelea kubaki hapo.
mwakalosi
mou na vyuma aongeze middle inayonyumbulika sasa
Ester jackson
Pongezi sana Eric kwa kuongeza mkataba
caroline
safi sana erick
Antony Luseno
Spurs sio rahisi kumwachia asepe lazima waongeze mkataba nae
Leonard
Eric mchezaji mzuri anastahili kuongezea mkataba
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi zake Eric kwakuongeza mkataba spurs
Isaya massawe
Wamefanya jambo zuri spurs kumwongeza mkataba Erick
Dorophina
Kafanya vizuri Erick kuongeza mkataba haendelee kutumikia timu yake
MnonganeJR
Bado ni mchezaji muhimu Sana
Amestahili kubaki#meridianbettz
Issa
Ni noma sana huyu mwamba
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz
Samiah
Huyu mwamba nikiboko
Tatu
Pongezi kwake
Salma
Safi sana
Jane Michael
Vizuri sana
Furahav
Eric namkubali mana anakaba hadi kivuli,kuongeza mkataba wake ni jambo zuri.
Ernest
Ni Bahati sana kwa Mourinho kumuelewa Dier, kila la kheri Dier
felister
Safi Erick
aisha
Pongezi nyingi sana kwa Eric kwa kuongeza mkataba
Christa
Safi, aendelee kukipiga
Magdalena
Habari njema kwa mashabiki wa Tottenham
Theckla
Hongera zake kwa maamuzi mazuri
Shafii
Ni jambo la furaha kwa wana spurs.
Hope mwaikuka
Vzur sana
fatumakasom
Yupo vizuri anastahili
Zeiyana
Eric hanauwezo makubwa sana
sabrina
Vizuri tu kuendelea kusalia Tottenham
Amiri Kayera
Safii spurs
Gabriel
Habar njema
Neema juma
Jambo la kheri hilo
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Povel tz
Gud kila la kheri
jullie
SAFI SANA
Saupha mohamed
Jambo zurii
Aziza mushi
Safi Sana eric
Christopher
Hongera kwake dier
tumaini
Maoni: safi sana Erick
Asia Abdy
Good
neema hassan
Mchezaji mzuri anastahil
Franky
Safii sana
David Pere
Mpra Ndio kazi take Ndio maana ameongeza mkataba
Omary lukumbi
Safi sana
Rehema
Pole yake
Frank Patrick
Jambo zuri sana
Khadija
Safi sana Eric#meridianbettz
Mwanahamisi
Jambo zuri
Mariam mtandama
Jambo mzur sana
Samira
Hongera sana erick
Zuhura omary kindamba
Hongera sana Eric kwa kuongeza mkataba
David Pere
Mpra Ndio kazi take Ndio maana ameongeza mkataba
devotha
safi sana Eric
Genia Sikaluzwe
Habari njema
mwajumah
Pongezi kwake#Meridianbettz