Carlo Ancelotti ameendelea kukiimarisha kikosi cha timu ya Everton baada ya klabu kuthibitisha kukamilisha usajili wa Allan kutoka Napoli siku ya Jumamosi.
Allan- ambaye amekuwa akipambana sana Napoli chini ya kocha Genarro Gattuso alikuwa akijua atakuwa ni kipaumbele kwa Ancelotti katika dirisha hili la usajili, na Ancelotti anataka kuungana tena na mchezaji wake huyo wa zamani.
Ancelotti sasa amepata mtu aliyekuwa akimtaka, kiungo huyo mpambanaji aliyeitwa mara tisa katika timu ya taifa ya Brazil, amejiunga na Everton kwa dili ya mkataba wa miaka mitatu kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufika £22.2m.
“Nina furaha ya dhati kusaini Everton, nifuraha mimi kuwa hapa,” Allan aliiambia Evertontv
“Ni klabu yenye historia kubwa katika Premier League ni sehemu sahihi sana nafurahi kukutana na Profesa Ancelotti.
“Amefanya kila linalowekezekana kuhakikisha mimi nakuja hapa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alicheza michezo 13 katika Serie A msimu uliyopita, na kufanikiwa kufunga goli moja imeripotiwa anajiandaa kutua Everton pamoja na wachezaji wengine kama James Rodrigues wa Real Madrid na Abdoulaye Doucoure wa Watford.
Everton wataanza mbio za kuwania Premier League msimu 2020-21 kwa mchezo dhidi ya Tottenham mwezi Septemba 13.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Flomena
Wellcom
Tumaini kasalile
Safi
Saupha mohamed
Safi
Shafii
Gud signing Everton.
Ernest
Bonge la mchezaji Everton imefanya usajili mzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Mchezaji mahili Anajua kazi yake nakujituma pia
Sauda
Karibu sana
[email protected]
Ni mchezaji mzuri anajua kujituma
Tatu
Everton naona wamempata mtu waliyekuwa wanamtana allan
Dorophina
Usajili huu Everton imefanya usajili mzuri sana mchezaji mzuri
Adelta
Everton imefanya usajili mzuri@meridianbettz
Elika
Karibu
magdalena
everton hapo mmepata mtu mzuri
Zeiyana
Allan yupo vizuri sana Everton kama watamtumia vizuri aslimia mia watapata matokea mazuri kutoka kwake
Caroline
Kikosi cha Everton kipo poa
Mwajumah
Safi#Meridianbettz
felister
Everton wamefanya usajili mzuri mno
Latifa juma mohamed
Ni klabu yenye historia kubwa katika Premier League ni sehemu sahihi sana karibu everton.
farida ahmadi
Safiiii Sana Everton
Amiri Kayera
Ni mchezaji mzur san
Janeflora malisa
Usajil mzr sana
Issa
Everton wamepania kuleta upinzan epl msimu ujao
Mwanahamisi
Karibu sana
Shani
Alan ni makin ila mazoez
aisha
Everton hapa nimewakubali sana
Fatina
Karibu
Hidaya
Chaguo sahihi
Latifa juma mohamed
Karibu sana
Hope mwaikuka
Ni mchezaj hodar atawafaa sana
Nasra
Anajua kujituma
Povel
Welcome God’s on park Allan
Devotha
Good
Genia Sikaluzwe
September 5, 2020 at 1:50 pm
Gud signing Everton
David Pere
Bonge la mchezaji Everton imefanya usajili mzuri
Gabriel
Allan yupo vizuri sana
Theonestina
Karibu sana
Isaya massawe
Mambo yameiva vilabu vinazidi kujiimarisha zaidi
Sadick
Everton imedhamiria kuleta ushindani msimu ujao#meridianbettz
Khadija
Safi sana#meridianbettz
Rehema
Asante kwa taarifa
Sabrina
Timi zinafanya usajili hakuna kulemba hongera Everton kwa usajili mzuri
Ester jackson
Good
warda
Jamaa anajua sana huyu
Furahav
Safi
Samiah
Safi