Kocha mkuu wa Manchester City Pep Guardiola ameendelea kusisitiza juu ya tabia na mienendo ya wachezaji wake nje na ndani ya uwanja baada ya kuwatema Jack Grealish na Phil Foden kwenye mchezo wa wikendi iliyopita dhidi ya New Castle United.
Grealish na Foden waliripotiwa kupigwa picha kwenye moja kumbi za starehe za usiku baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Leeds na kisha baadaye waliachwa kwenye kikosi cha kwanza kwa mchezo uliyofuata dhidi ya Newcastle.
Meneja huyo ambaye ameweka rekodi mpya ya kufunga magoli mengi ndani ya mwaka mmoja alisema: “Wakati wa sikukuu ya Christmas nitakuwa nikiangalia kwa umakini tabia za wachezaji ndani na nje ya uwanja.
“Haikuwa mzunguko niliamua walikuwa wacheze leo na hawakuwa watu wengine.
Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.


