Chadrack Boka, beki wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mgumu jambo ambalo linawafanya wawe makini kila wanaposhuka uwanjani kusaka pointi tatu. Beki huyo ni chaguo la …
Makala nyingine
Kikosi cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Aprili 9 2025 kiliandika rekodi ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika kwa ushindi wa penati 4-1 baada …
Pacome Zouzoua kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kila mechi ni ngumu wakiwa uwanjani wanapambana kufanya vizuri kupata matokeo ndani ya uwanja. Aprili 2 2025 baada ya dakika 90 ubao …
Baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya robo fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry, uongozi wa Simba umebainisha kuwa sababu iliyowafanya washindwe kupata ushindi ni …
Denzel Dumfries anaweza kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu zaidi kuliko ilivyotarajiwa, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa kocha wa Inter, Simone Inzaghi, wakati timu yake inakutana na majeraha katika …
Liverpool walirudisha tena uongozi wao wa pointi 12 kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya goli la Diogo Jota dhidi ya Everton kumaliza derby ya Merseyside ya pili yenye …
Gazeti la Tuttosport linaripoti kwamba ikiwa Fabio Paratici atakuwa mkurugenzi mpya wa michezo wa Milan, atajaribu kuungana tena na Antonio Conte huko San Siro. Paratici alizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa …
Gleison Bremer anasikitika kumwona Thiago Motta akifutwa kazi na Juventus, akisisitiza kuwa yeye ni kocha mzuri kwangu ambaye angeweza kufanikisha mambo makubwa,” lakini amezungumza na kocha mpya Igor Tudor. Ilikuwa …
Ligi kuu ya Hispania mechi ya kiporo kati ya FC Barcelona vs CA Osasuna itapigwa hii leo majira ya saa 5:00 usiku huku vijana hao wa Hans Flick wakiwa ndiyo …
Uwepo wa kinara wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika ndani ya kikosi cha Simba umewapa jeuri mabosi wa timu …
Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …
Katika suala la kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika, Yanga hawana utani wakiwa ni namba moja kwenye eneo hili …
Federico Chiesa aliifungia Liverpool, lakini Newcastle ya Sandro Tonali ilishinda Kombe la EFL kwenye Uwanja wa Wembley, na kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Reds. Mchezaji wa kimataifa wa Italia …
Thiago Motta anathibitisha kuwa hatajiuzulu baada ya Juventus kupoteza 3-0 dhidi ya Fiorentina akisema kuwa ‘itakuwa rahisi sana.’ Bianconeri walipata kipigo cha pili mfululizo kwenye Uwanja wa Stadio Franchi siku …
Gian Piero Gasperini anasisitiza kuwa Atalanta “haijapungua kiwango” kwa kipigo cha 2-0 kutoka kwa Inter, akidai kuwa wao ni moja ya timu bora barani Ulaya, lakini anaelekeza lawama kwa waamuzi …
Simone Inzaghi alijibu kwa wanaoishuku Inter baada ya ushindi wa 2-0 ugenini dhidi ya Atalanta, akirejelea mara kwa mara mijadala kwenye televisheni na vyombo vya habari. Nerazzurri wamekuwa na changamoto …
Ni Kama kazinduka kutoka kuzimu nyota Simba Kibu Denis ambaye jana alifunga kwa mara ya kwanza ndani ya ligi kuu baada ya kumaliza siku takribani 380 bila kuona bao. Lakini …
Inatajwa kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga Azizi Ki huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana …
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo …
Shomari Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa …