Gian Piero Gasperini anakiri ikiwa unamini vya kutosha, mambo yanaweza kuwa yanawezekana baada ya Atalanta kumtwanga Juventus 4-0 na kuweka kibarua cha kushindana kwa Scudetto na Inter. Hii ilikuwa ni …
Makala nyingine
Ikiwa ni Jumatatu murua kabisa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa …
Mabosi wa Yanga wamebainisha kuwa hakuna kipengele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 8 2025, saa 1:15 Uwanja wa Mkapa. Na Kwamba watakwenda uwanjani Kama kawaida …
Baada ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya …
Simone Inzaghi ampongeza Alessandro Bastoni kama ‘mchezaji wa kiwango cha dunia’ baada ya Inter kushinda 2-0 dhidi ya Feyenoord katika raundi ya 16 ya Ligi ya Mabingwa, akihakikishiwa kwamba hakukuwa …
Ahmed Arajiga ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025 ambapo wababe wawili wanatarajiwa kukutana Yanga na Simba. …
Mastaa wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo …
YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza …
VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga Februari 28 2025 watakuwa kibaruani kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji. Yanga baada ya mechi …
WAUAJI wa Kusini Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika …
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi …
MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Singida Black Stars kwenye mechi za ligi Jonathan Sowah raia wa Ghana inaelezwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kuipata …
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi ameweka wazi kuwa kwa wanaomtambua yeye ana uchu wa ushindi kwenye kila mechi ambazo wacheza ndani ya uwanja. Baada ya kubeba mikoba ya Sead …
Mlinda mlango namba moja wa Simba, Mousa Camara ameandika rekodi yake ya kuwa namba moja kwa makipa wenye hati safi ndani ya uwanja akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha …
Mchezaji wa pembeni wa Manchester United, Alejandro Garnacho, ana kiwango cha chini cha kubadili nafasi kuwa magoli kuliko mchezaji yeyote mwenye nafasi 10 au zaidi kubwa za kufunga katika Ligi …
Simone Inzaghi anakiri kuwa Inter inahisi aibu na kutokuridhika kwa kutokuwa na uwezo wa kutumia nafasi zao katika kipigo dhidi ya Juventus, lakini zaidi ya yote, wanapaswa kuboresha michezo mikubwa. …
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefunguka juu ya mshambuliaji wake kinara Earling Haaland kua nahodha baada ya mshambuliaji huyo kuvaa kitambaa cha unahodha jana kwenye mchezo wa ligi kuu …
Kutoka kua mchezo wenye mvuto na ushindani mkubwa mpaka sasa umegeuka kua mchezo ambao unazikutanisha timu zilizopo kwenye nafasi za chini kwenye msimu wa ligi kuu ya Uingereza ni Manchester …
Sergio Conceicao alikuwa katika maombolezo jana, hivyo Zlatan Ibrahimovic alizungumza kwa niaba ya Milan na kupongeza mchango wa wachezaji wapya. “Sisi ni Milan, ikiwa tutategemea mchezaji mmoja tu basi tutakuwa …
Sare ya 0-0 ya Atalanta dhidi ya Cagliari jana ilimletea kocha mkuu Gian Piero Gasperini pointi zake 600 za Serie A akiwa kiongozi wa klabu, jambo linalomfanya kuwa katika nafasi …