Makala nyingine

Ikiwa ni Jumatatu murua kabisa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa …

Mabosi wa Yanga wamebainisha kuwa hakuna kipengele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 8 2025, saa 1:15 Uwanja wa Mkapa. Na Kwamba watakwenda uwanjani Kama kawaida …

Baada ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya …

Mastaa wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo …

YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza …

WAUAJI wa Kusini Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika …

YANGA IMEWAPOTEZA SIMBA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi …

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Singida Black Stars kwenye mechi za ligi Jonathan Sowah raia wa Ghana inaelezwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kuipata …

Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi ameweka wazi kuwa kwa wanaomtambua yeye ana uchu wa ushindi kwenye kila mechi ambazo wacheza ndani ya uwanja. Baada ya kubeba mikoba ya Sead …

Mlinda mlango namba moja wa Simba, Mousa Camara ameandika rekodi yake ya kuwa namba moja kwa makipa wenye hati safi ndani ya uwanja akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha …

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefunguka juu ya mshambuliaji wake kinara Earling Haaland kua nahodha baada ya mshambuliaji huyo kuvaa kitambaa cha unahodha jana kwenye mchezo wa ligi kuu …

1 2 3 4 5 6 926 927 928
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.