Makala nyingine

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema kitu pekee anakifanya kwasasa ni kuhakikisha anawapa ushirikiano wachezaji wake kwa kuwapa moyo kutokana na kipindi kigumu ambacho wanapitia klabu hiyo mabingwa watetezi …

Huu ni mwaka wa shetani kwa klabu ya Manchester City na kocha Pep Guardiola kwani leo tena mbele ya klabu ya Liverpool wamekubali kichapo cha mabao mawili kwa bila katika …

Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane imetaarifiwa anasumbuliwa na majeraha ya misuli ya nyama za paja katika mchezo wa …

Beki wa klabu ya Fc Barcelona raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo inaelezwa amerejea mazoezini baada ya kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu yaliyomuweka nje kuanzia mwezi wa saba …

Balde Apata Majeraha

Beki wa kushoto wa klabu ya Barcelona Alejandro Balde amepata majeraha katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania leo na kushindwa kuendelea na mchezo huo ambao Barcelona wamepokea kichapo. Beki …

Klabu ya Fc Barcelona leo imedondosha alama tatu tena leo wakiwa nyumbani katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania dhidi ya klabu ya Las Palmas kwa mabao mawili kwa moja. …

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanakabiliwa na mchezo mgumu watapambana kupata pointi tatu …

1 2 3 4 5 6 921 922 923