Mshambuliaji wa klabu ya Fc Bayern Munich na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane imetaarifiwa anasumbuliwa na majeraha ya misuli ya nyama za paja katika mchezo wa …
Makala nyingine
Beki wa klabu ya Fc Barcelona raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo inaelezwa amerejea mazoezini baada ya kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu yaliyomuweka nje kuanzia mwezi wa saba …
Kunako ligi kuu ya Uingereza leo utapigwa mchezo mkali kati ya vinara wa ligi hiyo klabu ya Liverpool ambao watakua nyumbani katika dimba lao la Anfield kuwakaribisha klabu ya Manchester …
Beki wa kushoto wa klabu ya Barcelona Alejandro Balde amepata majeraha katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania leo na kushindwa kuendelea na mchezo huo ambao Barcelona wamepokea kichapo. Beki …
Klabu ya Fc Barcelona leo imedondosha alama tatu tena leo wakiwa nyumbani katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania dhidi ya klabu ya Las Palmas kwa mabao mawili kwa moja. …
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanakabiliwa na mchezo mgumu watapambana kupata pointi tatu …
MLINDA mlango namba moja wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Moussa Camara amesema kuwa bado kazi inaendelea kimataifa watapambana kufanya kweli na kupata matokeo katika mechi …
Siku chache zilizopita klabu ya Singida Black Stars iliwasimamisha kazi Kocha Mkuu Patrick aussems na msaidizi wake Denis Kitambi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni matokeo yasiyoridhisha. Baada ya sakata hilo …
UONGOZI wa Klabu ya Simba SC inasubiri ripoti ya Kocha Fadlu Davids ili kumaliza hatima ya Kiungo Fabrice Ngoma katika klabu hiyo hivi karibuni Ngoma anataka mkataba wa miaka miwili …
Winga wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Benfica Angel Di Maria anaitafuta rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kua mchezaji ambaye amepiga pasi nyingi za mabao kwenye michuano ya ligi …
Nahodha wa klabu ya Chelsea Reece James iinaelezwa hatarajiwi kurejea kwenye kikosi hicho baada ya kua anasumbuliwa na majeraha ya misuli ambayo amepata wiki kadhaa zilizopita. Reece James ilitarajiwa anaweza …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga anatarajia kufanyiwa vipimo leo kutokana na majeraha ya msuli aliyoyapata katika mchezo wa jana dhidi ya …
Klabu ya Leicester City ambayo imemfuta kazi aliyekua kocha wake Steve Cooper sasa wamemuajiri aliyekua kocha msaidizi wa klabu ya Manchester United Ruud Van Nistelrooy raia wa kimataifa wa Uholanzi. …
Beki wa kimataifa wa Argentina anayekipiga ndani ya klabu ya Manchester United Lisandro Martinez inaelezwa atakosekana katika mchezo wa leo dhidi ya klabu ya Ipswich Town. Lisandro Martinez inaelezwa alikua …
Rais wa klabu ya Real Madrid Florentino Perez ameongea kauli ambayo imeakisi kabisa kua kiungo wa klabu ya Manchester City Rodri hakustahili tuzo ya Ballon D’or mbele ya mchezaji Vinicius …
Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anaelezwa yuko mbioni kusaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo mabingwa watetezi wa Ufaransa mpaka mwaka 2029. …
Kocha mpya wa klabu ya Manchester United Ruben Amorim ameonekana kua na matumaini na kiungo wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount ambaye amekua akisumbuliwa na majeraha. …
Vyombo vingi vya habari nchini Italia vinaripoti kwamba Genoa wameamua kumfukuza kazi kocha mkuu Alberto Gilardino na nafasi yake kuchukuliwa na nahodha wa zamani wa Arsenal Patrick Vieira. Kulingana na …
Nyota wa Napoli Scott McTominay alipata jeraha dogo la kifundo cha mguu wakati Scotland ikishinda 2-1 dhidi ya Poland siku ya jana na atachunguzwa na madaktari wa klabu hiyo leo. …
Wakati kiungo mshambuliaji wa Simba akipukutisha mwaka bila kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara, Legend kwenye masuala ya michezo Bongo na Kimataifa, Saleh Ally wengi wanamuita Jembe ameweka wazi kuwa …