Eden Hazard anasumbuliwa na jeraha lililopelekea kutolewa nje kwenye mchezo wa Jumamosi ambapo Real Madrid ilipoteza kwa 2-1 dhidi ya Diportivo Alaves. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Belgium amekuwa akisumbuliwa …
Makala nyingine
Kocha mkuu wa Juventus Andrea Pirlo amesema mabingwa hao wanaoshikiria ubingwa wa Serie A lazima wajifunze kushinda bila uwepo wa Christiano Ronaldo baada ya supastaa huyo kuukosa mchezo wa Jumamosi …
Staa wa AC Milan, mkongwe Zlatan Ibrahimovic ameamua kufunguk aya moyoni na kuwaambia watu waache kudata na jina kwa kuwa ni staa. Zlatan Ibrahimovic: “Sehemu nilipozaliwa “ROSENGARD” ilitawaliwa na uharifu …
Joan Laporta raisi wa zamani wa klabu ya Barcelona ya Uhispania ameendeleza kampeni zake za kugombea karata ya uraisi mwezi marchi 2021. Raisi huyo wa zamani ameammua kugombea tena nafasi …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali November 29, 2020. Ratiba: England – Premier League 17:00 Southampton vs Manchester United 19:30 Chelsea vs Tottenham Hotspur 22:15 Arsenal vs Wolverhampton Wanderers France …
Tetesi zinasema mkurugenzi wa michezo wa Borussia Dortmund Michael Zorc anatazamia kumuona mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland katika klabu hiyo kwa muda mrefu. Nyota huyo aliye na miaka 20- …
Mpango wa Chelsea kurejesha mashabiki dimbani pale Stamford Bridge umekutana na upinzani kutoka kwa kundi la mashabiki ambao wanakosoa gharama za tiketi. Mashabiki hao wametaja kuwa £75 kwa mechi dhidi …
Reading walimaliza ukame baada ya mechi tano za Championship bila ushindi kwa kuifunga Bristol City bao3-1 kwenye dimbani Madejski. Haikuwa rahisi kuchagua nani angeshinda kwenye kipindi cha kwanza. Reading walisonga …
MABINGWA wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al-Ahly ya Misri, jana usiku Novemba 27 wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa tisa baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mahasimu wa …
Bado hali ni tete kuhusu hatma ya Georginio Wijnaldum ndani ya kikosi cha Jurgen Klopp kuanzia msimu ujao. Mkataba wa Wijnaldum unamalizika mwishoni mwa msimu huu na mpaka sasa,maongezi ya …
Licha ya kuuanza msimu kwa matokeo ya kusuasua, kocha wa Manchester City – Pep Guardiola amethibitisha kutosajili mchezaji yeyote mwezi Januari mwakani. Unaweza ukamshangaa Pep Guardiola kwa kuliongelea hili ikiwa …
Kiungo wa Atletico Madrid Geoffrey Kondogbia yupo huenda akacheza mechi dhidi ya timu yake ya zamani Valencia baada ya hali yake kuonekana kuimarika hii ni kwa mujibu wa kocha wa …
Inter Milan inaripotiwa kuwa katika mazungumzo na Lautaro Martinez juu ya mkataba mpya wa muda mrefu huko San Siro. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina alihusishwa sana na kuhamia Barcelona …
Baada ya kuhusishwa na vilabu mbalimbali bila mafanikio, hatimaye beki wa Ajax Amsterdam – Nicolas Tagliafico ameamua kubaki Uholanzi mpaka 2023. Hatua hii inafikiwa baada ya wakala wa Nicolas Tagliafico …
Uongozi wa Azam FC umeweka wazi kuwa sababu ya kumfuta kazi Kocha Mkuu Aristica Cioaba sio kufungwa na Yanga, Novemba 25 bao 1-0 Uwanja wa Azam Complex bali ni mchakato …
Mlipuko wa virusi vya COVID19 umetikisa uchumi wa kila sekta. Kwenye sekta ya michezo, klabu mbalimbali ikiwemo Barcelona zilitikiswa na virusi hivyo. Kufuatia kuporomoka kwa uchumi, klabu zilihitaji kuchukua hatua …
Kocha wa Chelsea, Frank Lampard amewamwagia sifa washambuliaji wa Tottenham Harry Kane na Heung-min Son kuelekea mchezo utaozikutanisha timu hizo mbili siku ya Jumapili. Frank amesema itakuwa rahisi kwa washambuliaji …
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amemtaka mshambuliaji Nicolas Pepe kuboresha kiwango chake na kudhihirisha ubora wake mara kwa mara katika michuano mbalimbali msimu huu. Hii ni baada ya nyota huyo …
Kocha wa Bayern Munich Hansi Flick anataka kuona mengi kutoka kwa mchezaji Leroy Sane lakini amesema mshambuliaji huyo anahitaji muda. Tangu ajiunge na Bayern akitokea Manchester City kwa dau linaloripotiwa …
Wachezaji wa Real Madrid, Karim Benzema na dani Carvajal wataukosa mchezo dhidi ya Alaves katika ligi kuu ya Uhispania siku ya leo. Kikosi cha Real Madrid leo asubuhi kimefanya mazoezi …