Makala nyingine

Michuano ya Copa Amerika bado inaendelea kupamba moto kwa nafasi yake na katika hilo kila taifa linajitahidi kuonesha upinzani wa aina yake ili kulinda heshima yake. Pamoja na hilo inafahamika …

Ni Wakati Sahihi?

MSIMU ujao klabu ya Chelsea itakuwa ikiwakilisha Uingereza kwenye michuano ya kimataifa hususan klabu bingwa na kwa sasa wanashikilia rekodi ya kunyanyua kombe la Europa League baada ya kuwashinda washindani …

Brazil Waanza Vizuri

Michuano ya timu zinazopatikana upande wa Marekani ya Kusini imeanza kutimua vumbi huku wenyeji wa michuano hiyo wakianza vizuri kwa kuwasha moto mzito mbele ya mgeji wao, Bolivia ambaye alionekana …

Umewahi kuhoji ndani ya viunga vya United juu ya nani aliitendea haki jezi namba 10 uwanjani? Kila shabiki wa United atasema ni jezi yenye historia kubwa sana ndani ya viunga …

Mameneja Bora Duniani

Soka ni mchezo ambao furaha yake ni kuacha alama kubwa ndani ya eneo ambalo makocha ama wachezaji wanakuwa wanapewa kazi kwa kuaminiwa katika nafasi zao. Jambo la pekee kwa kocha …

Walinzi Bora Ulaya

Soka ni mchezo unaobadilika siku zote, tangu zama ambazo timu zilikuwa zinacheza kujilinda sana zaidi ya kushambulia hadi pale ambapo wapo kwa sasa. Kwa kiwango kikubwa walinzi ni sehemu muhimu …

Sarri Kutua Juventus

Kocha wa Chelsea ambaye anakiongoza kikosi cha mabingwa hao wa UEFA Europa League amekuwa na nafasi ya pekee sana kupata nafasi ya awali kutua ndani ya klabu ya Juventus ambapo …

Inaonekana kwamba klabu ya Barcelona ipo mbioni kukamilisha dili la kumchukua nyota anayekipiga ndani ya klabu ya Atletico ambaye kwa kiwango kikubwa amekuwa sokoni kuwavutia mabingwa hao wa jiji la …

Madrid Waongeza Kifaa

MADRID wapo katika harakati za kuangalia kwamba kikosi chao kinakuwa na ushindani mkubwa katika msimu ujao bado wapo katika harakati za kusajili majina ambayo yataweza kusaidia kutetea mataji msimu ujao. …

Griezman Njiapanda

Nyota na mchezaji wa Atletico Madrid ambaye ameweza kusalia kikosini hapo kwa kipindi kirefu sana hadi sasa na kuisaidia timu yake hiyo kufikia hatua ya pekee sana kwenye mataji na …

Waliostaafu Msimu Huu

Kila kitu huwa na wakati wake ambao kukitambulisha kitu kwa matokeo mazuri au hata yale ambayo hayaridhishi. Wengine hustaafu soka baada ya kutumikia kwa kipindi kirefu kama ilivyokuwa kwa Stanley …

Kikosi Kipya cha Stars

Tunaelekeza jicho letu kwenye michuano ya mataifa ya Afrika [AFCON] ambapo timu ya taifa ya Tanzania inashiriki ndani ya michuano hiyo kwa mwaka huu baada ya kupata nafasi ya kufuzu …

Ronaldo Atisha…

Baada ya kuipa ubingwa wa UEFA Nations League, nyota wa taifa la Ureno ambaye amekuwa akivunja rekodi nyingi sana ndani ya taifa hilo ameweza kwa awamu nyingine kurudisha kombe hilo …

Pereira Aongezewa Ulaji

Nyota wa klabu ya Manchester United ameaminiwa na kuongezewa mkataba wa kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo ya Manchester United ambako atapewa mkataba wa kusalia hapo kwa miaka minne zaidi …

Kwa miaka mingi utamu na uzuri wa soka umekuwa ukishuhudia majina mawili yanayozungumziwa sana kwenye vyombo vya habari, mashabiki na hata maeneo mbalimbali ya mikusanyiko ya watu wanaopenda na wasiopenda …

Kama walivyokuwa njiani kuonesha nia yao ya kumsajili nyota wa Swansea City baada ya kuridhishwa na mchezaji huyo kwa kadri ya mahitaji ya kocha wa kikosi hicho, klabu hiyo kwa …

Sajili Ngumu Msimu Huu

Dyabala kutua United, ilionekana kwamba baada ya Ronaldo kutua pale Juventus alichukua namba ya kijana ambaye alikuwa ni chaguo la kwanza la klabu hiyo ambapo kwa vipindi vilivyopita alikuwa kama …

Katika soka kila kipindi huwa na historia yake ambayo kwa namna fulani huwa imejengwa ndani ya wachezaji ambao ndiyo hubeba falsafa nzima ya soka. Katika siku za karibuni baadhi ya …

Wachezaji Bora Afrika

Kuna idadi kubwa sana ya wachezaji wa Kiafrika ambao wanaheshimika kwa kiwango kikubwa ndani ya mataifa yao kwa mafanikio makubwa waliyoyapata na kusaidia pia ndani ya mataifa yao kuweza kufikia …

Muarobaini wa United…

Manchester United wana maeneo mengi ambayo wanahitaji kuyafanyia marekebisho msimu huu na miongoni mwa eneo hilo ni lile la upande wa kulia ambalo limekuwa na matatizo sana katika kikosi hicho. …

1 2 3 911 912 913 914 915 916 917 924 925 926