Makala nyingine

Shutma za Rais PSG

Rais wa klabu ya matajiri wa jiji la Ufaransa, Nasser Al-Khelaifi yupo katika kashfa nzito ya kujihusisha na manbo ya matumizi ya fedha nyingi kutaka kununua mashindano ya riadha mwaka …

Valencia wamemaliza msimu vizuri baada ya kunyanyua ndoo ya Copa del Rey mbele ya Barcelona ambao walionekana wamepoteana sana kwenye mchezo huo muhimu sana wa fainali. Walikuwa ni Valencia waliowaonesha …

Huyu ndiye Lionel Messi nyota wa Barcelona ambaye ameandika rekodi kadhaa kubwa! Sasa, kwa mara nyingine ameandika rekodi ya kuchukua kiatu cha dhahabu kwa mara ya sita toka alipoanza kucheza …

Msimu wa ligi kuu 2018/19 kwa sasa umesalia kama historia tu baada ya kuhitimishwa. Kilichobaki ni kutathmini nini kimefanyika ndani ya ligi kwa kipindi hicho chote ambacho ilishika nafasi. Kubwa …

Baada ya Manchester City kunyanyua ndoo ya ubingwa msimu huu ikiwa ni alama ambazo nafasi yake ni ndogo sana kiutofauti na klabu ya Liverpool kuna aina ya wachezaji ambao kwa …

Golikipa wa Manchester United David de Gea bado hasomeki juu ya maamuzi ya hatma yake klabuni hapo. Manchester United walikuwa kwenye jitihada za kuhakikisha staa huyu anasaini mkataba mpya. Hata …

Kuna taarifa zinaendelea kugonga vichwa vya habari kwamba klabu za Uingereza tayari zimeanza kuvutiwa na nyota wa Kitanzania, Mbwana Samatta anayekipiga katika klabu ya KRC Genk kwa mafanikio makubwa sana …

2019 imekuwa ya kipekee sana kwa mashabiki wa WWE duniani kote huku yakishuhudiwa mapambano makubwa na ya aina yake. Mbali na mashindano hayo kuendelea pia, suala la nyota wanaoshiriki mchezo …

Vifungo Ndani ya WWE

Kama ilivyo michezo yoyote ile duniani huwa na kanuni ambazo huongoza mashindano husika na pale unapotokea uvunjwaji wa kanuni hizo zilizowekwa basi hatua kali hutumika ili kurejesha heshima pale ilipoonekana …

Fununu za Soka Ulaya

Manolas arudi sokoni, nyota anayekipiga na AS Roma, Kostas Manolas anahusishwa na safari ya kujiunga na klabu ya Arsenal kutokana na klabu hiyo kukubali aina yake ya uchezaji na uwezo …

Mashindano ya Copa America yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi huku kila timu ambayo inatarajia kushiriki ikiita nyota wake ambao walikuwa na msimu mzuri kwenye vilabu vyao. Brazil ni miongoni mwa timu …

Simba Mabingwa Wapya!

LIGI nyingi zimekwishapata mabingwa wao ndani ya mwezi huu kutokana na kalenda ya shirikisho la soka duniani FIFA. Nayo klabu ya Simba ambayo ilikuwa tishio ndani ya ligi hiyo nchini …

Fununu za Usajili

Huko Uingereza, Arsenal wana matumaini makubwa ya kutwaa taji la Europa ili kupata tiketi ya kucheza klabu bingwa msimu ujao, jambo ambalo litawafanya kufanikiwa kwa urahisi kupata wachezaji sokoni ambao …

Wakati Umewadia…

Wahenga husema wakati ni ukuta ukipingana nao utaumia bure. Ule wakati wa kushuhudia michuano ya mpira wa wavu inayojulikana kama International Volleyball Federation inayoangaliwa kuanza kuchana nyavu hapo kesho huku …

Fununu za Soka Ulaya

Lallana anaonekana kutaka kurejea Southampton, nyota huyo anatazamiwa kujiunga na klabu hiyo baada ya kuona kwamba hana nafasi ndani ya Liverpool kwa sasa na mahitaji yake ndani ya klabu hiyo …

Samatta Ndani ya UEFA!

Nyota wa Kitanzania na mchezaji wa timu ya taifa la Tanzania, Mbwana Samatta anayekipiga nchini Ubelgiji na klabu ya Genk amefikia mafanikio makubwa ambayo kwa hakika hakuna Mtanzania mwingine aliwahi …

HII ni sehemu ya kukusanya nguvu ya pamoja na kuangalia namna ya kujiendesha wenyewe na wakaweza kutengeneza pesa ya aina yake kupitia kundi hilo. Wakati linaingia sokoni hakuna hata mmoja …

Msimu huu unaisha ukiwa ni msimu wa mabalaa tu kwa Mashetani Wekundu -Manchester United. Hata hivyo, licha ya kuwa na msimu mgumu klabu hii inajitahidi kuhakikisha inambakiza nyota Marcus Rashford. …

1 2 3 915 916 917 918 919 920 921 926 927 928
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.