NI piga nikupige ndani ya ligi kuu ya Uingereza msimu huu na kuonekana kuwa na mvuto wa aina yake kutokana na tofauti ya alama iliyokuwepo kati ya klabu moja na …
Makala nyingine
Nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa na mlinzi wa klabu ya Barcelona, Samuel Umtiti ameweka wazi hisia zake kwa baadhi ya nyota kwa kuwaambia hali halisi inaweza kumfanya atimke …
Mara chache sana kukuta familia moja ya watoto wawili waliozaliwa pamoja kufanya kitu kinachoendana na kwa kiwango kile kile kinachooneshwa na mmoja. Lakini katika nchi za wenzetu ni kawaida sana …
Kila kocha anapokuwa katika klabu fulani kufundisha huwa na nia kubwa moja ya kutaka kufanya vizuri na kufahamika zaidi kwa matunda na kazi kubwa anayoifanya. Zaidi ya hayo huwa na …
Kwanini Manchester City na Liverpool wangelazimika kucheza mechi ya 39 ya ligi kama baadhi ya vigezo ambavyo huangaliwa mara nyingi vingefikiwa na timu zote mbili na kukosekana kabisa kuangalia nani …
Nchi ya China ina vilabu vingi ambavyo vina lengo la kuleta heshima katika soka na vinaonelea mbali sana katika uendelezaji wa soka ndani ya taifa. Wamekuwa nyuma sana upande wa …
WWE wamepanga kupeleka mashindano yao huko nchi za Uarabuni, Saudi Arabia ambapo imepangwa kwamba mashindano hayo yatachukua nafasi mapema Julai, 7. Sio mara ya kwanza kwa shirikisho hilo kupeleka mashindano …
Baada ya miaka mingi ya kupuuzwa kwamba soka la Uingereza limeshuka na kupoteza hadhi yake sasa ni wakati wa kusema ile heshima ya soka la taifa hilo imerudi upya kwa …
Manchester United wapo katika ramani ya kuangalia wachezaji ambao lazima kuwauza ili kuweza kufanya maboresho ya kikosi chao upya kwa msimu ujao. Hakika ni kikosi kinachotakiwa kusukwa upya baada ya …
Klabu ya United imeweza kuongozwa na makocha wa pekee na wenye historia kubwa kikosini hapo. Kati ya idadi hiyo ya makocha wapo walioondoka patupu bila kuacha mataji ya aina yoyote …
Klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu Tanzania bara imeendelea kufanya maajabu mazito ndani ya ligi hiyo ikiwa pamoja na kugawa dozi ya aina yake na ya kihistoria ndani ya ligi …
Ni jambo la kihistoria sana ambalo ligi ya mabingwa Ulaya msimu huu imeweka. Imekuwa ni ligi ya kihistoria huku ikivunja zile zilikuwa zimezoeleka kwa timu nyingi na kwa mashabiki wengi …
Mafanikio ya Ajax msimu huu yanaweza kuwagharimu kwa namna fulani pamoja na faida watakayokwenda kuitengeneza kwa kuzalisha nyota wenye uwezo mkubwa ambao kwa hakika wamerushiwa macho na kila klabu kubwa …
Imekuwa ni vigumu kuamini kilichotokea katika mchezo wa nusu fainali iliyojenga historia ya aina yake kwenye michuano ya klabu bingwa Ulaya ambayo kwa hakika huwa na heshima ya pekee sana …
Ligi Kuu ya Uingereza inaheshimika kwa kuwa na wachezaji wengi wenye uwezo wa kipekee sana na wanaotokea mataifa mbalimbali. Pia, inamiliki wachezaji ambao kwa upande mwingine wanaishia kusugua benchi katika …
Sakata la Madrid kumhitaji nyota huyo bado linaendelea kuibua sura mpya baada ya klabu hizo mbili kuonekana kutozungumzia kabisa juu ya suala hilo japo taarifa zinazoendelea chini chini kuona kwamba …
Kocha wa Barcelona, Ernesto Valverde anaona kabisa mechi yake na Liverpool itakuwa ni miongoni mwa mechi ngumu atakazokutana nazo kwenye michuano ya klabu bingwa. Anaenda kukutana na Liverpool ambao kwa …
Barcelona ni kati ya klabu ambazo kwa hakika imeweza kuzalisha kizazi kikubwa cha wachezaji ambao wamekuwa na mafanikio ya pekee sana kwenye soka. Baadhi yao wakiwa ni kama makocha wanaofundisha …
Siku ya jana ilikuwa ni muhimu sana kwa Arsenal kupata ushindi ambao kwa hakika ulikuwa bado unawaweka kwenye nafasi ya kuendelea kufukuzia nafasi yao ya kushiriki michuano ya klabu bingwa …
Kuelekea mechi ya Manchester City na Leicester United, Liverpool wapo katika maombi mazito kuwaombea Manchester City kupoteza mechi yao ya leo. Ushindi wa Manchester City ni kujitangazia ubingwa ndani ya …