Makala nyingine

Nyota wa Chelsea, Eden Hazard amekanusha taarifa kwamba amekubali kujiunga na Real Madrid kwa mkataba wa miaka mitano. Mkataba wa Hazard, Chelsea unamalizika mwishoni mwa msimu ujao na taarifa zimeanza …

Hazard Huyooo…!

Inaonekana kabisa kwamba baada ya Zidane kuwasili Blancos hapo kuna mazungumzo ya mwanzo yamejadiliwa ili kuangalia kama mchezaji huyo ataweza kutua Bernabeu huku kocha huyo akiwa amekabidhiwa kikosi hicho akifanyie …

Conor na Ronaldo…

Nyota wa UFC, McGregor amemzungumzia Ronaldo kutokana na historia yake na aina ya matokeo anayoleta kwenye soka na zao analolitoa katika klabu yake mpya ya Juventus kwamba ni mchezaji ambaye …

Huenda kampeni ya kusaka nafasi ya kushiriki michuano ya EURO 2020 ikaanza bila ya baadhi ya nyota katika vikosi vya baadhi ya timu za taifa kutokana na majeraha ya baadhi …

Raha ya mechi ni ushindi siku zote lakini inapotokea upande mmoja unapoteza hugeuka na kuwa majonzi kwa wale wanaopoteza mechi husika. Hilo siku zote lipo na halizuiliki kabisa kutokana na …

Robo Fainali ya CAF

Baada ya michezo yote kumalizika huku baadhi ya klabu zikivunja historia kubwa za ushiriki ndani ya michuano hiyo ya klabu bingwa Afrika sasa shirikisho la mpira wa miguu Afrika limepata …

Furaha Yenye Karaha!

Mchezaji huwa huru kuzitumia hisia zake kushangilia vile anavyojisikia yeye kwa namna ambayo itaheshimu nafasi ya wengine bila kuhatarisha au kuvunja sheria ambazo zimewekwa kama zile zinazoonesha kushangilia kwa kuashiria …

Mshambualiaji wa Manchester United, Alexis Sanchez ameamua kufunguka kwa wale wanaomdhania mabaya kwamba angeweza kuondoka katika ardhi ya Uingereza na kujiunga na klabu nyingine kutokana na kukosa muda wa kutosha …

Griezmann hayupo tayari kuingia sokoni msimu huu kujiunga na klabu nyingine ya jiji alimo kwa sasa ila anaangalia zaidi kama atapata nafasi ya kutimka hapo na kujiunga na klabu nyingine …

Wababe wa CAF…

Afrika ni miongoni mwa bara linaloongoza kuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa na historia ya kipekee ambao wanafanya vizuri ndani na nje ya mataifa yao ya asili. Ni bara lenye …

Raha za FA Cup…

Michezo ya kombe la FA ilishika kasi huku ikishuhudiwa baadhi ya klabu kubwa zikipata shida mbele ya klabu ambazo zinachukuliwa kuwa na uwezo wa chini. Klabu zenye majina makubwa zimepata …

Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Real Madrid anahusishwa na kujiunga na klabu ya Juventus kwa kipindi cha hivi karibuni baada ya kupoteza kabisa nafasi ya kuanza ndani ya kikosi …

Wapotevu wa Madrid…

Soka ni mchezo wa ajabu sana ambao siku zote huibua mambo ya aina mbalimbali. Kuna wakati mchezaji huhama kutoka klabu moja kwenda nyingine kwa lengo la kubadili angalau mazingira. Lakini …

Magoli 100 ya Haraka PL

Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …

Kuna wakati ukiruhusu hisia zikuendeshe kuna uwezekano mkubwa ukajikuta unaingia kwenye mikono ya hukumu au sheria zikashika mkondo wake. Vivyo hivyo suala hili huwakuta wachezaji pale wanapotumia mitandao ya kijamii …

Silva Amwaga Wino

Bernado Silva amekuwa nguzo kubwa sana ndani ya kikosi cha Guardiola msimu huu akionesha uwezo wa juu kabisa ndani ya ligi hiyo upande wa kufunga, kutoa pasi za muhimu na …

  Huku ligi ya Uingereza ikiwa inaelekea mwishoni mwa mashindano yake, huku kila timu ikijaribu kupigana kujua itamaliza ikiwa nafasi ipi na nyingine zikijiandaa kushuka katika ligi yao, lakini vurugu …

Karibu Uingereza…

  Unaweza kuwa haukuwa usiku mzuri kwa United ambao waliambulia patupu mbele ya Arsenal walioonekana kuwa katika hali ya ubora katika mechi iliyowakutanisha miamba hao wa soka. Kilichovutia sana katika …

Mnyama Atafunwa!

  Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mazuri ndani ya ligi na baadhi ya mechi za kimataifa klabu ya Simba imekubali kupokea kichapo kingine mbele ya Waalgeria, J. S. …

1 2 3 919 920 921 922 923 924 925