Ramos Nje Mechi Dhidi ya Celta Vigo.

Sergio Ramos hajatajwa katika kikosi cha Real Madrid kwenye mchezo wao wa LaLiga dhidi ya Celta Vigo siku ya Jumamosi.

Nahodha huyo wa Madrid hakufanya mazoezi siku ya Ijumaa na, kulingana na Marca, anapambana na tatizo la tumbo.

Ramos, ambayekukosekana kwake hakukutarajiwa katika kundi la watu 23, amefunga mara mbili katika mechi 13 za ligi msimu huu.

Beki wa kati amechangia katika clean sheet tano safi, huku akiwa wastani wa 1.1 wa takles, kuokoa 2.8, vizuizi 1.5 kwa kila dakika 90.

Amefanya kosa moja tu lililopelekea shuti na kupokea kadi tatu za njano.

Madrid italazimika kukabiliana na Celta vigo licha ya kukosekana kwa mchezaji wao aliyecheza mechi nyingi zaidi Ramos, akiwa ameshinda mchezo mmoja tu kati ya michezo mitatu ya ligi iliyopita ambayo hakuwepo msimu huu.

Lakini, mabingwa watetezi hawajapoteza katika michezo 12 dhidi ya Celta wanaoshika nafasi ya nane kwenye LaLiga.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

19 Komentara

    Kumkosa ramos Real watakua na kibarua kigumu

    Jibu

    Ni pengo kubwa sana kwa real Madrid maana Ramos anaouwezo wa kucheza bek na kiungo wa Kati vzur sana

    Jibu

    Pole sana Ramos

    Jibu

    Pole Sana Ramos

    Jibu

    Real madrid wamepata pengo kubwa poke Sana
    Ram

    Jibu

    Pole sana Ramos

    Jibu

    Real madrid wanagepu kubwa sana kumkosa ramos kwenye mechi hii

    Jibu

    Polen sana

    Jibu

    Polen

    Jibu

    Pole sana ramos

    Jibu

    Bek kisiki sana

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Pole Ramos

    Jibu

    Habari mbaya kwa Real Madrid

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Sorry for you

    Jibu

    Duu pole yako lamos

    Jibu

    Duuh hili pengo sijui ataziba nan

    Jibu

    Duuh pole sana

    Jibu

Acha ujumbe