MOGELLA: Pesa Zigawanywe Pasu kwa Pasu

Baadhi ya wadau wa soka nchini wameshauri kuwa suala la kurudishwa pesa za viingilio vya mashabiki litakuwa gumu kwa sasa hivyo ni bora kila timu ipewe mgawo sawa ili kufidia gharama na kusaidia maandalizi ya mechi ijayo ambayo itapangiwa tarehe nyingine.
MogellaMshambuliaji wa zamani wa Taifa Stars, Zamoyoni Mogella amesema mgawanyo wa mapato kwa kila timu litakuwa jambo nzuri zaidi lakina kwa sharti la kuanza kuwapa adhabu kali waliofanya tukio hilo.
Mogella-fansKugawanya mapato kwa timu zote ni ushauri mzuri sana, kwani endapo pesa hizo zitagawanywa nusu kwa nusu kwa timu zote mbili kila mmoja atalizika na kila timu itakuwa na amani, hata siku ikitangazwa mechi irudiwe mambo yatakuwa shwari .

Je, pesa zigawanywe pasu kwa pasu kwenye timu au zirudishwe kwa mashabiki?


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

5 Komentara

    Hii kweli kali ya mwaka

    Jibu

    Hizo hela zikigawiwa nusu kwa nusu hiyo siku ya kurudiwa mechi mashabiki wanaingia bure?

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Mmmh watakavyo amua sawa

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

Acha ujumbe