Mpaka sasa kocha wa timu ya Yanga, Nabi ametua na wataalam wawili akiwa na kocha msaidizi wa kwanza Sghir Hammad na kocha wa mazoezi ya viungo Jawad Sabri sasa kuna wengine wawili wanashushwa.
Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Yanga, Dominic Albinius amesema mtaalam wa kwanza ambaye amesalia katika ujio wa Nabi ni mtu wa kuchambua ubora wa wapinzani.
Albinius alisema mtaalam huyo ambaye atatua nchini wakati wowote ndio raia wa kigeni aliyesalia katika benchi la Nabi. “Atakuja wakati wowote zipo taratibu anazimalizia kuzikamilisha huko aliko ili aje hapa nchini kufanya kazi,” alisema Albinius
Albinius aliongeza kuwa; “Kocha pia anataka atafutiwe mtu wa saikolojia kwa muda aliokaa na timu ameona kuna haja ya kuwa na mtu wa kazi hiyo. Amesema huyu mtu wa saikoloji anatamani awe raia wa Tanzania ili kuweza kuelewana na wachezaji wengi lakini atakuwa na faida ya kujua mazingira ya hapa kuliko akija mgeni.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Yanga wako vizuri tusubiri kuona maajabu yao
Tunasuri tuone
Ngoja tuone
Ngoja tuone maajabu yao
Yako wako vizuri wanaongezea nguvu tu
Utopolo hawa ishiwi mambo haya
Sasa kaz kwake
Wape salam
Mko vizuri.
Ngoja tuone