Liverpool wanaweza kupiga hatua ya karibu sana kubeba taji lao la kwanza la ligi baada ya miaka 30 wakati watakapokabiliana na maasimu wao wakubwa Everton Jumapili hii katika dimba la Goodison Park. ‘The Reds’ wamekuwa kwenye kiwango bora sana kwenye Ligi msimu huu na kwa sasa wanaongoza kwa tofauti ya alama 22 kileleni mwa msimamo wa EPL huku zikiwa zimebaki mechi tisa.
Kikosi cha Jurgen Klopp sasa kinahitaji kushinda michezo miwili tu kutwaa taji la Ligi na hakuna kitu inaweza kuwa furaha kwa mashabiki wa Liverpool kama kuchukua alama tatu kueleke ubingwa kutoka kwa wapinzani wao Everton.
Vijana wa Carlo Ancelotti bado wana nafasi ndogo ya kufuzu Ligi ya Europa kwa msimu ujao. Wako katika nafasi ya 12 alama saba tu nyuma ya Sheffield United iliyopo katika nafasi ya sita.
Everton Kama wataweza kufuzu mashindano ya Europa utakuwa msimu mzuri kwao kutokana na ambavyo walianza vibaya sana na hata kumfukuza kocha Marco Silva mapema msimu huu.
Je! Everton Wanaweza kupata matokeo leo na kutengeneza mazingira ya kufuzu Europa? Au Liverpool watachukua alama tatu kuusogelea ubingwa wa Ligi?
Michezo mingine Leo EPL:
Newcastle v Sheff Utd (16:00)
Aston Villa v Chelsea (18:15)
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Leo patachimbika siyo pao
Furahav
Inawezekana kubebe ubingwa.
Hamidu
Leo game tamu kuliko zote Liverpool vs everton.#meridianbettz
Zeiyana
Evarton kama wataweza kufuzu mashindano ya Europa utakua msimu mzuri kwao
Dorophina
Liverpool ubingwa wao wawape tu jmn ila leo lazima kieleweke atoki mtu kwenye runinga
Elika
Liverpool lazima wachukue point 3 leo..nawaombea sana
Issa
Mmh mechi za kibabe leo epl lakini mechi itakaosisimua ni ya watani liverpool na eveton
Povel
Don’t miss🙉🙉🙉
Laaydia Emmanuel Magoti
Leo ndio leo gam yakibabe Livepool mtanange watari
isha
Liverpool nawaelewa sana na pia watapata ubingwa
Mwanahamisi
Liverpool anaweza akalala ushindi
Ester jackson
Hawa Everton walimsema sana kocha wao Marco hadi kumtimua sasa leo wataweza kudhibitisha kuwa kocha alikuwa anawapoteza au walikuwa wanapotezana leo siyakukosa hii mechi
Lydia Emmanuel Magoti
Leo ndio leo gam yakibabe Livepool mtanange watari
Theckla
Hakika hii ni mechi nzuri sana
Caroline
Leo patachimbika
Shafii
Weekend hii hainipiti ivi ivi lazima nidake mkwanja wangu sio kwa mechi Kama hizi jamvi linaandaliwa
felister
lazima afe mtu apo
farida ahmadi
Liverpool lazima achukue ubingwa ilo halina mpinzani
Sadick
Mechi ya Everton vs Liverpool haijawahi kuwa nyepesi hata kidogo. Everton inaweza ishangaza dunia kwa kushinda mechi ya leo#meridianbettz
Omary lukumbi
Leo mechi zote kali si epl wala la liga ila hii ya Liverpool kazi ipo leo maana huawaga si nyepesi kupata ushindi inawezekana everton wakawacheleweshea ubingwa Liverpool leo
Sylvester
Hili bonge la mechi leo yani kama naona Liverpool anakalia 3 kwa lao moja #meridianbettz
Neema
Leo mechii kalii kinoma
Mwanaidi
Leo si ndio leo sasa kweli hii ni super sunday
Njiku
Goodeson park uwanja wa everton kitachimbika pale ,vinara hao wa uingereza wakikipiga na waasimu wao everton.huku liverpool wanahitaji arama3 ili kuendelea kujikita kileleni
Hilda
Mpango mzma ndio leo wadau
Neema hassan
Mtanange hatari mashabk tunasubr kwa hamu..
Hope mwaikuka
Mechi mojaa kalii
Sabrina
Maoni:patakua hapatoshi leo
Frank Patrick
Its a derby But hali ya Liverpool ni ya ubingwa Huyu Richarlison atajuta kuongea shit leo
Amiri Kayera
Ah bonge game lipo 50 Kwa 50
Leonard
Mechi za leo zina ushindani sana
Edgar
kiukweli yani hapo kwa everton kumfunga livepool daah ni ndoto coz live yupo kwe form yan inabidi afanye kaz kweli
David Pere
Hatari tupu sijua Kama Liverpool wataendeleza ushindi leo
Ernest
Leo ushindi lazima kwa vijana wa Klop
Tahiya
Hii ni ngoma baada ya ngoma Epl
Hidaya
Mapema.tu kideoni
mwakalosi
mechi ya kuitazama ni liver tu
Theonestina
Ilikuwa bonge la mechi
Magdalena
Mambo EPL ni mazuri watu tumejua kujinyakulia Sana ela
Devotha
Lazima Liverpool ashinde ili aendelee kutetea nafasi yake
warda
Ila Liverpool wamesotea sana hili Taji acha tu wapate ushindi wazidi kusonga#Meridianbettz
Salma
Jino kwa jino
Khadija
yaani ilikuwa bonge la mechi ilikuwa hadi raha#meridianbettz
Gabriel
Mechi Kal sana hizi
Amani
Mechi ya Everton vs Liverpool haijawahi kuwa nyepesi hata kidogo
Rehema
Hii mechi atari ila %zote Nampa liverpool
Fatuma kasomo
Mechi zote kali wasipoangalia Liverpool watakalishwa
Samira
Hatari sana hii
Angelina
Hii sio yakukosa
Emmy cleopa
Habari njema