Makala nyingine

Inter Milan wametangza kumuweka kiungo wao mshambuliaji Christian Eriksen sokoni kutokana na sheria za Serie A zinazomzuia kutokucheza mashindano yeyote kwenye ardhi ya Italia. Christian Eriksen ambaye alianguka kwenye mchezo …

Mshambuliaji wa Chelsea Romelu Lukaku anafurahi kumwona Cristiano Ronaldo amerudi kwenye Premier League lakini kamwe hatothubutu kulinganisha rekodi yake na ile ya fowadi wa Manchester United. Ronaldo aliandika historia siku …

Ronald Koemann amepokea taarifa njema siku ya Ijumaa kwamba Marc-Andre ter Stegen amerudi kwenye mazoezi na wachezaji wa Barcelona baada ya kukamilisha utaratibu wa matibabu kufuatia kufanyiwa upasuaji alifanyiwa  mwisho …

Kylian Mbappe amerejea Paris Saint-Germain kufuatia mapumziko baada ya Euro 2020 akiwa anaangalia kuanza maandalizi ya pre-season lakini hana mpango wa kuongeza mkataba mpya. Anafurahia kurejea kwenye klabu yake kuelekea …

Cristiano Ronaldo anafanya mashabiki wake kuendelea kubaki na maswali ya nini kinafauata kwake msimu huu wa joto, na mustakabali wake wa Juventus bado haujathibitishwa. Mreno huyo alimaliza kama mfungaji bora …

Kocha wa Uingereza Gareth Southgate amedai kuwa ni mapema sana kuzungumzia hatima yake ya kuhusu maisha yake ya baadae kama kocha wa Uingereza baada ya kukubali kufungwa katika fainali ya …

1 2 3 4 5
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.