Makala nyingine

Inter Milan wametangza kumuweka kiungo wao mshambuliaji Christian Eriksen sokoni kutokana na sheria za Serie A zinazomzuia kutokucheza mashindano yeyote kwenye ardhi ya Italia. Christian Eriksen ambaye alianguka kwenye mchezo …

Mshambuliaji wa Chelsea Romelu Lukaku anafurahi kumwona Cristiano Ronaldo amerudi kwenye Premier League lakini kamwe hatothubutu kulinganisha rekodi yake na ile ya fowadi wa Manchester United. Ronaldo aliandika historia siku …

Ronald Koemann amepokea taarifa njema siku ya Ijumaa kwamba Marc-Andre ter Stegen amerudi kwenye mazoezi na wachezaji wa Barcelona baada ya kukamilisha utaratibu wa matibabu kufuatia kufanyiwa upasuaji alifanyiwa  mwisho …

Kylian Mbappe amerejea Paris Saint-Germain kufuatia mapumziko baada ya Euro 2020 akiwa anaangalia kuanza maandalizi ya pre-season lakini hana mpango wa kuongeza mkataba mpya. Anafurahia kurejea kwenye klabu yake kuelekea …

Cristiano Ronaldo anafanya mashabiki wake kuendelea kubaki na maswali ya nini kinafauata kwake msimu huu wa joto, na mustakabali wake wa Juventus bado haujathibitishwa. Mreno huyo alimaliza kama mfungaji bora …

Kocha wa Uingereza Gareth Southgate amedai kuwa ni mapema sana kuzungumzia hatima yake ya kuhusu maisha yake ya baadae kama kocha wa Uingereza baada ya kukubali kufungwa katika fainali ya …

1 2 3 4 5