Makala nyingine

Katika soka mara nyingi umri wa mtu huwa siyo kipimo cha mafanikio yake kabisa bali jitihada zake katika kusukuma mbele gurudumu la soka huangaliwa kwa nafasi kubwa zikiendana na busara …

Mwisho wa juma lililo pita uongozi unaosimamia mpira wa miguu nchini Uingeleza umejadili wazo la kumalizia ligi kuu ya Uingeleza kwa mtindo wa kukusanya vilabu vyote katika kambi maalum (KARANTINI) …

Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola alisema kwamba hatojali lolote lile endapo kikosi chake kingemaliza msimu bila kuwa na taji lolote. Kocha huyo ametasema hayo kwa kuona kwamba …

Fainali ya FA 2019

LEO itashuhudiwa fainali ya kombe linalofahamika kwa kuwa na uwekezaji wa aina yake ndani ya taifa la Uingereza ambapo mabingwa wa kombe la ligi, Manchester City wataumana vikali na Watford …

Watford wametengeneza historia upya baada ya kipindi kirefu cha kutokufika hatua hiyo ya fainali. Wamewatupa nje ya michuano hiyo wababe wa Manchester United baada ya kucheza mechi iliyokuwa ya kipekee …

Staa wa Manchester City, Raheem Sterling ameamua kuwafurahisha watoto wa shule aliyosoma zamani, kitaa tunaita Oldi Skuli. Nyota huyu ameamua kuwawezesha watoto katika shule hiyo ambayo aliisoma zamani kuhudhuria gemu …

Raha za FA Cup…

Michezo ya kombe la FA ilishika kasi huku ikishuhudiwa baadhi ya klabu kubwa zikipata shida mbele ya klabu ambazo zinachukuliwa kuwa na uwezo wa chini. Klabu zenye majina makubwa zimepata …

1 2 3 8 9 10 11
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.