Makala nyingine

Mmiliki wa Nottingham Forest, Evangelos Marinakis anafikiria kumfukuza kocha Steve Cooper kama sehemu ya marekebisho makubwa katika Ligi ya Uingereza.   Katika kile kinachoweza kuwa mtikisiko mkubwa katika klabu hiyo, …

Chama cha soka nchini Uingereza FA kimetangaza sheria mpya ambazo zinakwenda kulinda urithi wa klabu zake zote nchini humo ambapo sheria hizo zitatumika kwenye “premier League, EFL, National League [national …

Kocha wa klabu ya Everton Frank Lampard amepigwa faini ya £30,000 kwa kumkosoa mwamuzi aliyechezesha mchezo wa Everton dhidi Liverpool  mwezi uliopita kwa kumshtumu mwamuzi huyo kuwa pendelea majogoo kwenye …

Todd Boehly na washirika wamemilikishwa rasmi klabu ya chelsea baada ya kukamilisha hatua zote ambazo serikali na bodi ya ligi waliziweka ili kuweza kuinunua klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya …

Mchezaji ambaye anaichezea klabu ya Crystal Palace kwa mkopo akitokea Chelsea Conor Gallagher amekili kuvunjika moyo baada ya kutokuwepo kwenye mchezo wa nusu fainali ya FA Cup kwenye uwanja wa …

Burudani ya soka imeendelea tena viwanjani wiki hii. Middlesbrough au ukipenda waite ‘Boro’ wamendelea kuchana mikeka. Ni wale wale vijana wa Chris Wilder ambao walizamisha jahazi la Manchester United kule …

1 2 3 4 5 6 9 10 11
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.