Timu ya Manchester United ilitolewa na timu ya Middlesbrough kwenye michuano ya FA Cup ikiwa ni raundi ya nne siku ya Ijumaa usiku, baada ya kupigiana mikwaju ya penalti. United …
Makala nyingine
Kocha wa muda wa Manchester United, Ralf Rangnick amemwagia sifa kedekede mchezaji nyota wa Scotland Scott McTominay baada ya kuonyesha kiwango bora kwenye mchezo wa FA Cup dhidi ya Aston …
Draw ya mzunguko wa nne kwenye kombe la FA Cup kufanyika leo Jumapili 9 January muda wa saa 12:50 jioni pia draw hiyo itachezeshwa kwenye uwanja wa Wembley Draw ya …
Rebecca Welch anakuwa mwanamke wa kwanza kuchezesha michuano ya FA Cup kwa upande wa wananaume ambapo atachezesha mchezo kati ya Birmingham City dhidi ya Plymouth Argyle kwanye michezo ya mzunguko …
Gwiji wa soka ulimwenguni Edson Arantes do Nascimento “Pele” aliruhusiwa kutoka hospitali siku ya Alhamisi ambako alikuwa amelazwa kwa wiki kadhaa kutokana kusumbuliwa na maradhi ya utumbo. Pelé alikuwa amelazwa …
Pierre-Emerick Aubameyang amevuliwa jukumu la kuwa kiongozi/nahodha wa timu ya Arsenal na hatokuwa sehemu ya mchezo wa Arsenal dhidi ya West Ham katikati ya wiki hii. Aubameyang hakujumuishwa kwenye kikosi …
Timu ya wanawake ya Chelsea walimaliza ushindi wa mataji matatu ya mashindano ya ndani msimu wa 2020/21 kwa ushindi mnono katika fainali ya Kombe la FA ya Wanawake iliyochezwa siku …
Ukiacha ligi kuu, michezo ya mizunguko ya awali kwenye FA na Carabao Cup, ni sehemu ya kutengeneza faida ukiwa unaburudika. Hii ndio Meridianbet! Baada ya Exester na Bradford kuchuana Novemba …
Shabiki aliyeanguka uwanjani kwenye mchezo wa Newcastle dhidi ya Tottenham uliokwishwa kwa newcastle kupoteza 3-1 kwenye uwanja wa Saint James Park, ameruhisiwa kutoka hospitali Refarii Andre Marriner dakika ya 41 …
Baada ya taarifa rasmi kuhusu nusu fainali ya Carabao Cup kwa msimu wa 2021/22, sasa ni rasmi na FA Cup itakuwa na michezo ya marudio. Msimu wa 2020/21, mashindano yote …
Hatimaye zile harakati za kuhakikisha wanawake wanakuwa kwenye nyanja mbalimbali duniani zimeanza kuonekana kwenye michezo, hii ni baada ya mwanamama Debbie Hewitt kutangazwa kuwa mwenyekiti wa chama cha soka cha …
Niwakumbushe tu kuwa Cristiano Ronaldo anataka kuondoka Juventus, atatoa tamko rasmi baada ya EURO Moja wapo ya sababu ni kuwa anahitaji timu inayoshinda, sio kushinda mechi na kuwa nafasi ya …
Thomas Tuchel amekiri kwamba angependa kuwa na Harry Kane kama sehemu ya kikosi chake cha Chelsea, lakini alisema kwa ufupi tu Chelsea inavutiwa na straika huyo. Kane amekuwa akihusishwa na …
Tetesi za soka leo Ijumaa Mei 21, 2021 barani Ulaya zinasema:- Tetesi zinasema, Mabingwa wa Ligi ya England Manchester City wamepania kumpa mshambuliaji wa England Raheem Sterling, 26, mkataba mpya …
Wawakilishi wa Chelsea wamewasiliana na mabosi wa Bayern Munich ili kuinasa saini ya Robert Lewandowski (32) katika dirisha lijalo la majira ya Kiangazi. Mbali na kuwasiliana na mabosi wa timu …
Ratiba za soka leo Jumatano Mei 19, 2021 katika Ligi mbalimbali ulimwenguni:- England – Premier League 20:00 Everton vs Wolverhampton Wanderers 20:00 Newcastle United vs Sheffield United 20:00 Tottenham Hotspur …
Tetesi za soka barani Ulaya leo Jumanne Mei 18, 2021 zinasema:- Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa England Harry Kane kwa mara nyengine ameambia Tottenham anataka kuondoka katika klabu hiyo ya ligi …
Nahodha wa kikosi cha Manchester United Harry Maguire, amejipa matumaini kuwa anaweza kuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza mchezo wa fainali ya Ligi ya Europa. Kwa hivyo kama hatakuwa vizuri kwa …
Kocha mkuu wa Chelsea Thomas Tuchel amekiri kwamba kufuzu kushiriki Champions League msimu ujao ni muhimu zaidi kuliko kushinda ubingwa wa kombe la FA. Baada ya kulikosa kombe la FA …
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kocha wa Liverpool, Jorgen Klopp amemfanya azidi kuwa kocha bora kutokana na changamoto anayompa nakumfanya kila siku awe anafikiria mbinu mpya za kushinda …

