Makala nyingine

Polisi wa Uingereza ‘walinda amani’ wanatumwa nchini Qatar kusaidia mashabiki wa soka wenye fujo na kelele kuepuka kukamatwa kwenye Kombe la Dunia. Maafisa wataalamu wa Uingereza wataingilia kati ‘kuwatuliza’ wafuasi …

Giovani Lo Celso anaripotiwa kukabiliwa na kinyang’anyiro dhidi ya muda kuwa fiti kwa Kombe la Dunia baada ya kuumia wikendi iliyoisha. Kiungo huyo wa kati wa Argentina alilazimika kutolewa nje …

Vinicius Jr: Nyota wa Real Madrid Vinicius Jr amefichua kwamba anaamini Ufaransa inapewa nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia nchini Qatar, lakini anasema timu yake ya Brazil itakuwa miongoni …

Hispania: Mchezaji wa Manchester United David de Gea hatashiriki Kombe la Dunia la Qatar baadaye mwaka huu baada ya kuripotiwa kuachwa kwenye orodha ya kikosi cha muda cha wachezaji 55 …

Mtangazaji wa Ghana Benjamin Wille Graham amechaguliwa na FIFA kutangaza matukio yatakayokuwa yanaetokea na kuendelea kwenye michezo ya kombe la dunia inayotarajia kuanza mwezi novemba 21 nchini Qatar. Mtangazaji huyo …

Ebuana eeh kivumbi cha UCL wiki hii kitaendelea tena, ule usiku wa mabingwa mpira utatembea wakati huo huo Meridianbet wakiwa wamejipanga kwa Odds kubwa zaidi na machaguo zaidi 1000, mchanganuo …

Erik ten Hag alisisitiza kuwa hana majuto kwa kumtimua Cristiano Ronaldo kutoka kwenye kikosi huku kauli za meneja wa United zikiendelea, huku nguli wa United, Gary Neville na Roy Keane …

Mkuu wa mbio za Red Bull na kandanda Dietich Mateschitz amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Raia huyo wa Austria alijulikana kwa …

Manchester City wanaripotiwa kutaka kumsajili winga wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia. Kvaratskhelia, ambaye hajulikani aliko kabla ya msimu huu, amevutia vilabu kadhaa maarufu barani Ulaya baada ya kung’ara katika miezi mitatu …

Keane Amtetea Ronaldo

Roy Keane alimtetea Cristiano Ronaldo Jumamosi usiku, akidai kuwa kuondoka kwake dhidi ya Tottenham kulitokana na kuchanganyikiwa kabisa – ingawa hawezi kuona njia ya kurejea Manchester United kwa nyota huyo …

Paul Scholes ametilia shaka uamuzi wa meneja wa Manchester United Erik ten Hag kumtoa Jadon Sancho na kuchukua nafasi ya Fred wakati wa sare ya 1-1 jana na Chelsea, akielezea …

1 2 3 4 23 24 25