Tangu athibitishwe kuwa kocha mkuu wa Manchester United Ralf Rangnick aliweza kuisimamia United katika mchezo wa EPL katika dimba la Old Trafford siku ya Jumapili dhidi ya Crystal Palace na …
Makala nyingine
Aston Villa watakuwa wakitafuta kupata ushindi kwenye Premier League pale watakapo waalika Leicester City katika uwanja wa Villa Park siku ya Jumapili saa moja na nusu usiki (19:30 pm) Huu …
Barcelona walifungwa bao la dakika za lala salama siku ya Jumamosi dhidi ya Real Betis mchezo uliyoisha kwa ushindi wa 1-0 kwenye LaLiga na kufanya kocha Xavi Hernandez kupoteza mchezo …
Porto na Sporting CP zinakabiliwa na adhabu ya kufungiwa mwaka mmoja kutocheza Ulaya iwapo zitashindwa kulipa madeni ambayo bado haijalipwa kufikia mwisho wa mwezi ujao. UEFA siku ya Ijumaa ilifichua …
Juventus wana matatizo ndani na nje ya uwanja kwa sasa, hivyo Massimiliano Allegri anatafuta suluhu. Kocha huyo wa Kiitaliano anataka wachezaji wapya wafanye nao kazi kwenye Uwanja wa Allianz, lakini …
Angel Di Maria amesema kwamba yeye ni rafiki mkubwa Lionel Messi nje ya uwanja lakini pia wametengeneza muungano mzuri ndani ya uwanja katika timu ya taifa ya Argentina na PSG. …
Mshambuliaji wa zamani wa taifa la Brazil Ronaldo De Lima alisema kuwa kabla ya kwenda Hispania kununua klabu ya Real Valladolid, alitaka kununua klabu kwenye ligi ya Uingereza Championship na …
Cristiano Ronaldo amefikisha alama nyingine ya kihistoria hapo siku ya jana baada ya kufunga bao la 800 katika maisha yake ya soka. Hatua hiyo ilifikiwa na mechi dhidi ya Arsenal …
Klabu ya Chelsea ilikuwa mstari wa mbele katika kinyang’airo cha kuipata saini ya beki wa kati wa Barcelona Ronald Araujo sasa taarifa za hivi karibuni zinadai kwamba Liverpool wapo karibu …
Baada ya Christian Eriksen kupata tatizo la moyo wakati wa michuano ya Euro 2020 akiwa na timu ya taifaya Denmark sasa ameanza mazoezi kwa mra ya kwanza na timu ya …
Edinson Cavani ni mmoja wa washambuliaji ambao Joan Laporta yuko nao katika harakati za kuimarisha kikosi cha Barcelona kinachoongozwa na Xavi Hernandez. Ingawa yeye si mlengwa namba moja, atatoa chaguo …
Zlatan Ibrahimovic bado haonyeshi dalili zozote za kustaafu kucheza soka baada ya nyota huyo kutaka kusaini mkataba mpya na klabu ya AC Milan baada ya kuifungia Milan bao la ufunguzi …
Waandaaji wa tuzo za Ballon d’Or wameeleza kuwa wanafikilia kuhusu kumzawadiya Robert Lewandowski tuzo ya mwaka 2020 baada ya kauli ya Messi aliyotoa kwenye sherehe hizo alipopokea tuzo yake ya …
Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel atafanya maamuzi dakika za mwisho kama Jorginho, Reece James na Timo Werner wanaweza kucheza dhidi ya Watford siku ya Jumatano The Blues wakiwa ugenini kwa …
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti alikuwa na mkutano na wandishi wa habari siku ya Jumanne kuelekea mchezo wa Real Madrid dhidi ya Athletic Bilbao katika LaLiga. Waandishi hawakuuliza …
Mshambuliaji wa PSG Lionel Messi aliibuka na ushindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya mwaka 2021 na kumpiku straika wa Bayern Munich Robert Lewandowski ambaye alishika nafasi ya pili kwenye …
Leo ndiyo leo asemaye kesho ni muongo Tuzo ya Ballon d’Or imerejea tena mwaka huu 2021 baada ya kukosekana kwa mwaka uliyopita kwa sababu ya janga la COVID-19 na leo …
Chelsea inawaalika Manchester United katika uwanja wa Stamford Bridge katika wiki ya 13 ya Premier League. The Blues wameendelea kusalia kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na jumla ya alama …
Thomas Mueller alisema mchezaji mwenzie wa Bayern Munich Robert Lewandowski ni lazima ashinde tuzo ya Ballon d’Or siku ya jumatatu ambapo tuzo hizo zitakapo tangazwa. Lewandowski anamatumaini makubwa ya kupata …
Carlo Ancelotti amedai kuwa rais wa Real Madrid Florentino Perez anajipanga kuleta maboresho katika timu ya Real Madrid hasa katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kocha huyo wa …