Ferran Torres ndiye mchezaji wa Barcelona wakati wanatazamia kuimarisha safu yao ya mbele, na wanaweza kuanza kumnunua fowadi huyo wa Manchester City. Wakala wa Mhispania huyo alikuwa katika ofisi za …
Makala nyingine
Droo ya hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia la 2022 imepelekea Ureno na Italia kuwekwa kwenye kundi C la mtoano, kumaanisha kuwa mmoja kati ya wawili hao hatafuzu fainali …
Jurgen Klopp amemtaja Sadio Mane kama “mchezaji wa kiwango cha dunia” na akasema kuwa na wakati wa kupumzika baada ya msimu uliopita kumekuwa maana katika kiwango chake cha hivi karibuni. …
Baadhi ya mataifa tayari yamefuzu kushiriki kombe la Dunia 2022 nchini Qatar lakini kuna mataifa bado yanaendelea kusaka nafasi hiyo miongoni mwa mataifa hayo ni pamoja na Portugal, Italy Poland …
Klabu ya Chelsea bado haijakata tamaa kwa mchezaji wa Fiorentina, Federico Chiesa licha ya Juventus kusisitiza Chiesa hauuzwi The Blues bado inaonyesha nia kubwa ya kuitaka huduma ya mchezaji huyo …
Majina ya wachezaji kumi na moja yaliotajwa na FIFA kugombania tuzo ya mchezaji bora wa kiume wa FIFA, jana jumatatu Lewandowski, Benzema na Jorginho nao wameingia kugombania kinyang’anyiro cha mchezaji …
AFP Sport imemuandikia barua ya kuomba msamaha mlinda lango wa klabu ya Chelsea Edouard Mendy kufuatia kutumia picha yake kwenye habari inayomuhusu Benjamin Mendy mchezaji wa Manchester City anayekabiliwa na …
Paul Merson amesema kwamba Manchester United wameanza vibaya msimu kutokana na kumsajili Christiano Ronaldo anachoamini Merson ni kwamba Ujio wa Chrisano ulikuja kuharibu mipango ya Ole Gunnar Solskjaer. Solskjaer alitimuliwa …
Sergio Ramos Anajandaa kucheza mchezo wake wa kwanza na klabu ya Paris Saint-Germain baada ya kutajwa katika kikosi kitakacho menyana na Manchester City siku ya Jumatano katika mchezo wa Ligi …
Kiungo wa Barcelona Pedri ametajwa kuwa mshindi wa tuzo ya Golden Boy mwaka 2021 na kumbwaga Jude Bellingham wa Borussia Dortmund, Pedri mwenye umri wa miaka 18 anakuwa mchezaji wa …
Baada ya Manchester United kukubali kipigo cha 4-1 kutoka kwa Watford siku ya Jumamosi uongozi wa klabu hiyo ulifika ukomo wa kumvumilia kocha Ole Gunnar Solskjaer na kuamua kuachana kocha …
Klabu ya Manchester United imethibitisha kumfuta kazi kocha Ole Gunnar Solskjaer kufuatia kipigo cha aibu cha 4-1 kutoka kwa Watford ambao wamepanda daraja msimu huu. Michael Carrick ameteuliwa kuwa kocha …
Kocha mkuu wa Chelsea Thomas Tuchel amesisitiza kwamba hakuna mjadala wowote kuhusu kuuzwa kwa Hakim Ziyech bosi huyo pia amesema kwamba taarifa zote zitengenezwa na watu. Ziyech hajapata uhakika wa …
Timu ya taifa ya Uruguay imemfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wao Oscar Tabarez baada ya kuitumikia kwa muda wa miaka 15. Kocha huyo wa miaka 74 alirejea Uruguay kwa mara …
Wiki ya 12 kunako Premier League hii hapa moja ya mechi za kuvutia siku ya leo Jumamosi ni hii kati ya Liverpool dhidi ya Arsenal mechi itapigwa katika dimba la …
Mino Raiola wakala Kiungo wa Manchester United Paul Pogba, amesema kwamba mchezaji wake atakuwa kwenye harakati za kuihama klabu ya Premier League kwenye dirisha la uhamisho la mwezi Januari. Mchezaji …
Romelu Lukaku alirejea kwenye mazoezi ya Chelsea siku ya Jumatatu baada ya kukosa mechi tano zilizopita kutokana na jeraha la kifundo cha mguu. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji, Lukaku …
Timu ya taifa ya Ubeligiji imekata tiketi ya kwenda nchini Qatar kwaajili ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 baada ya kuinyuka Estonia 3-1 siku ya Jumamosi. Katika mchezo …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi Hernandez anataka kukijenga upya kikosi chake baada ya kuchaguliwa rasmi kuwa kocha wa mkuu mapema hii kufuatia kutimuliwa kwa aliyekuwa kocha mkuu wa The Blaugrana …
Klabu ya Borussia Dortmund inafanya kila njia kuhakikisha kwamba mshambuliaji Erling Haaland anabaki kwa msimu mmoja zaidi kabla kandarasi yake kuacha kufanya kazi majira ya joto 2022. Vilabu vingi barani …