Ufaransa wanawaalika washika mkia katika kundi D Kazakhstan katika dimba la Parc des Princes mchezo wa kufuzu kwenda nchini Qatar kushiriki kombe la Dunia 2022. Taarifa ya Timu Ufaransa italazimika …
Makala nyingine
Baada ya miaka mitano kupita tangu aondoke hatimaye Dani Alves amerejea katika klabu ya Barcelona kwa mara nyingine kwa uhamisho huru. Beki huyo wa kulia (38) ataanza mazoezi na timu …
Baada ya Steven Gerrard kuwapa mkono wa kwa heri sasa Rangers wanatafuta kocha mbadala ili kuendeleza wimbo mzuri ambao Gerrard aliuanzisha na Ronald Koeman anaonekana kuwa mtu sahihi Ibrox Stadium …
DR Congo ina vilabu viwili vikubwa [AS Vita na TP Mazembe] ambavyo vitatikisa soka la Afrika! Lakini ukiangalia wachezaji wanaoanza kwenye kikosi cha timu ya taifa hakuna mchezaji wa AS …
Vilabu vya Premier League Vinapinga kwa kauli moja mipango ya FIFA ya kupanga upya kalenda ya mechi kuanzia 2024, ambayo itajumuisha Kombe la Dunia linalofanyika kila baada ya miaka miwili. …
Lionel Messi alikosa mechi mbili za PSG sababu ya kukabiliwa na majeraha ya goti lakini sasa yupo imara kucheza na timu ya taifa ya Argentina dhidi ya Uruguay katika mechi …
Nuno Espirito Santo ameelezea kwamba “Mpira wa miguu ni mchezo usiyo na huruma” lakini anaendelea mbele kuangalia changamoto mpya baada ya kutimuliwa na Tottenham wiki iliyopita. Kocha huyo wa raia …
Maelfu ya mashabiki walifika katika uwanja wa Camp Nou kwaajili ya kumkaribisha Xavi Hernandez kama kocha mkuu wa Barcelona siku ya Jumatatu huku wakiwa na matumain Xavi anaweza kuwarejeshea furaha …
Bosi wa Borussia Dortmund Marco Rose amekiri kwamba tatizo la misuli la Gio Reyna ni baya kidogo kuliko vile ilivyokuwa ikitarajiwa lakini kinda huyo wa miaka 18 anatarajia kurejea dimbani …
Mechi kali leo kati ya AC Milan dhidi ya mahasimu wao wa jiji Inter Milan katika dimba la San Siro katika Serie A na inakuwa ni Milan Debi ya 229. …
Antonio Conte hana udanganyifu wowote kuhusu changamoto anayokumbana nayo katika kujaribu kuirejesha Tottenham kwenye njia yao ya kushinda. Spurs wanashika nafasi ya tisa kwenye Ligi ya Premia, wakiwa wameshinda mara …
Klabu ya Barcelona imethibitisha kuingia mkataba na Xavi Hernandez kama kocha mkuu wa timu hiyo dili itakayo dumu mpaka mwaka 2024. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 ametumia miaka …
Louis Saha amesifu ubora wa mchezaji mwenzake wa zamani Christiano Ronaldo na kusisitiza kwamba kocha Ole Gunnar Solskjaer anabahati kupata huduma ya mchezaji huyo aliyerejea Old Trafford. Straika huyo wa …
Sepp Blatter na Michael Platini wameshitakiwa kwa ubadhirifu na kutokana na matumizi mabaya ya ofisi walioufanya pindi wakiwa kwenye ofisi za taasisi zao walizokuwa wakiziongoza. Wawili hao wanatumikia kifungo cha …