Makala nyingine

Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton amejipa nafasi ndogo wa yeye kufanya vizuri kwenye mashindano ya  Bahrain Grand Prix lakini amepanga mipango ya kuweza kumshinda Max Verstappen kwenye mbio zinazofuata kwenye …

Ni dhahiri, ubingwa wa Formula 1 (F1) mwaka 2021 bado ni gumzo miongoni mwa mashabiki wa mchezo huo. Haki ilitendeka au iliminywa mahali? Mvutano mkali wa maamuzi ya mchezo huo …

Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine. Chama kinachosimamia mashindano ya F1, FIA na …

Ferrari wamerejea kupigania ushindi wa mbio na mataji msimu huu kwani “wameyakumbuka” kwani hawajashinda mbio kwa misimu miwili sasa, huku ushindi wao wa mwisho ukiwa na Sebastian Vettel kwenye Singapore …

FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix. Kuanzia sasa nafasi ya ukurugenzi …

Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi ya utata kwenye fainali ya mashindani …

Timu ya Aston Martin Aramco Cognizant inayoshiriki mashindano ya F1 leo wametambulisha gari yao mpya itakayotumia injini ya AMR22 ambayo watakayoitumia kwenye mashindano ya Formula 1 2022. Aston Martin ni …

Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa muda refu. Hamilton ambaye alikuwa kimya …

Wakati dunia ikiendelea kupambana na kirusi cha Covid-19, mwaka 2022 kwenye mashindano ya Formula 1 (F1), kuchanja ni lazima. Suala la chanjo ya uviko-19 limekuwa ni gumzo sehemu nyingi ulimwenguni. …

Timu ya Aston Martin leo wamemtambulisha na kumchagua Mike Krack kuwa kiongozi mpya wa timu hiyo ambapo anakwenda kuchukua nafasi ya Otmar Szafnauer ambaye ameondoka hivi karibuni. Kabla ya kujiunga …

Nyota wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amekuwa kimya kwa muda mrefu tokea kumalizika kwa mashindano ya mwisho mwaka jana disemba jijini Abu Dhabi ambapo kulitokea sintofahamu nyingi kwenye mashindano …

Baada ya kuibuka sintofahamu kuhusu ushindi wa Formula 1 kwa Max Verstappen, timu ya Mercedes imeamua kuachana na mpango wa kukata rufaa kupinga matokeo. Mbio za Abu Dhabi ziligubikwa na …

1 2 3 4 5 6