Wahenga walisema ‘nyota njema huonekana asubuhi’. Haya ni maisha ya kijana chipukizi – Callum Ilott ambaye amekuwa akilelewa na timu ya Ferrari.
Baada ya kufanya vizuri kwenye Formula 2 na kumaliza katika nafasi ya 2 nyuma ya bingwa Mick Schumacher, muingereza Callum Ilott sasa ni rasmi ataipeperusha bendera ya Ferrari kwenye mashindano ya F1 mwakani.
Ilott atahusika zaidi kwenye mbio za majaribio na atahudhuria Grand Prix kama sehemu ya timu ya Ferrari.
Ilott alifanya majaribio ya pili kwenye F1 kwenye mbio za Abu Dhabi ambapo kijana huyu mwenye umri wa miaka 22, alimaliza mizunguko (laps) 93 akiwa anaitumikia timu ya Alfa Romeo ambayo ni washirika wa Ferrari.
Akizungumzia fursa hii, Callum Ilott amesema ” hii ni fursa kubwa. Ni heshima kubwa kuwa kwenye mfumo wa vijana wa Ferrari kwa miaka 3 iliyopita na jukumu hili jipya ni changamoto ya kuvutia.”
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Shakila mrope
Safi sana
Adelta
Good news
Khadija
Goon new
Sarah
Safii
Rahma
Nic
Mwanahamisi
Safi
Caroline
Safi sana
Dorophina
Kila lakheri callum
Hopemwaikuka
Go young champ keep fulfilling your dream
Issa
Ferrar imepata mtu
Saupha mohamed
Nice
Fatuma kasomo
Safi
neema hassan
Habari njema
samiah
Nihabari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Samira
Good news
Tatu
Safi sana
Janeflora malisa
Safi
warda
Callum kafurahi sana