Lewis Hamilton Kweli Kustaafu F1?

Nyota wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amekuwa kimya kwa muda mrefu tokea kumalizika kwa mashindano ya mwisho mwaka jana disemba jijini Abu Dhabi ambapo kulitokea sintofahamu nyingi kwenye mashindano hayo.

Hivi karubuni FIA walimtangaza kiongozi mpya wa taasisi hiyo bwana Mohammed Ben Sulayem kuchukua nafasi ya Jean Todt, ambapo alisisitiza kuwa Lewis Hamilton inabidi arudi mwaka 2022 ili aje kupambana na Verstappen.

Lewis Hamilton

Kiongozi mpya wa FIA Mohammed Ben Sulayem anauhakika kuwa Lewis Hamilton atarejea kwenye mbio hizo mwaka huu, japokuwa kuna tetesi zinazosambaa kuwa Lewis ana mapango wa kustaafu mbio hizo na kujikita zaidi kwenye maswala ya muziki na mitindo, huku aki unfollowed watu wote kwenye mtandao wa Instagram

“Hapana sifikilii hivyo, ni tetesi tu, kwani yeye mwenyewe ametangaza kustaafu? hapana. Lewis ni mtu muhimu kwenye sehemu ya mafanikio ya mchezo huu.” Alisema Mohammed

Mohammed Ben Sulayem amekubali kuwa amekuwa akisumbuka kufanya mawasiliano  nae tokea sintofahamu ya jijini abu dhabi.

Lewis Hamilton

“Nilimtumia message, ndio, nadhani hayuko sawa kuweza kujibu naelewa nafasi yake, kuna sheria inabidi zifwate na madereva wote. Kwangu hakuna timu au dereva yeyote ambae yuko juu ya sheria za FIA.” Aliongezea


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

 

 

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.